Uchaguzi 2020 Tusidanganyane: Kwa mtindo huu sioni hata Mkurugenzi mmoja atayeweza kutangaza ushindi kwa upinzani abadani

Kuna mambo hayahitaji akili kubwa sana kuyaelewa namna yanavyoenda/endeshwa.

Hii kauli mmeisahau? "Nikuteuwe mimi kuwa Mkurugenzi, nikupe gari, nikupe nyumba, nikupe mshahara na posho halafu umtangaze mpinzani mshindi!!". Maneno hayo ni mazito sana na yanatanabaisha namna mambo yanavyoanza kuwaendea kombo wapinzani hata kabla ya kuanzwa kwa kampeni.

NEC sio wenzetu, Polisi vivyo hivyo! Mahakama nazo zimekosa weledi wa namna ya kuzisimamia sheria. Upinzani usitegemee muujiza kwani hakuna Mkurugenzi ambaye atakubali kupoteza 'ugali' wake kwa kumtangaza mpinzani kuwa mshindi.

Kwa hali ilivyo sasa, "Wananchi tutachagua, NEC watateuwa".

"Nimekuchagua, nimekupa madaraka, nakulipa mishahara, nimekupa gari nzuri, nimekupa nyumba nzuri, nk. halafu umtangaze mpinzani kuwa ameshinda uchaguzi Mkuu utanitambua." Amesikika akisema bwana yule.
 
Kuna mambo hayahitaji akili kubwa sana kuyaelewa namna yanavyoenda/endeshwa.

Hii kauli mmeisahau? "Nikuteuwe mimi kuwa Mkurugenzi, nikupe gari, nikupe nyumba, nikupe mshahara na posho halafu umtangaze mpinzani mshindi!!". Maneno hayo ni mazito sana na yanatanabaisha namna mambo yanavyoanza kuwaendea kombo wapinzani hata kabla ya kuanzwa kwa kampeni.

NEC sio wenzetu, Polisi vivyo hivyo! Mahakama nazo zimekosa weledi wa namna ya kuzisimamia sheria. Upinzani usitegemee muujiza kwani hakuna Mkurugenzi ambaye atakubali kupoteza 'ugali' wake kwa kumtangaza mpinzani kuwa mshindi.

Kwa hali ilivyo sasa, "Wananchi tutachagua, NEC watateuwa".
Ni kweli lazima kusitisha uchaguzi mpaka kieleweke na pia shinikizo la kujiuzulu kwa magu ni muhimu, anaharibu nchi yetu vibaya kabisa.
 
Kuna mambo hayahitaji akili kubwa sana kuyaelewa namna yanavyoenda/endeshwa.

Hii kauli mmeisahau? "Nikuteuwe mimi kuwa Mkurugenzi, nikupe gari, nikupe nyumba, nikupe mshahara na posho halafu umtangaze mpinzani mshindi!!". Maneno hayo ni mazito sana na yanatanabaisha namna mambo yanavyoanza kuwaendea kombo wapinzani hata kabla ya kuanzwa kwa kampeni.

NEC sio wenzetu, Polisi vivyo hivyo! Mahakama nazo zimekosa weledi wa namna ya kuzisimamia sheria. Upinzani usitegemee muujiza kwani hakuna Mkurugenzi ambaye atakubali kupoteza 'ugali' wake kwa kumtangaza mpinzani kuwa mshindi.

Kwa hali ilivyo sasa, "Wananchi tutachagua, NEC watateuwa".
Yamejirudia. Ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Hakuna uchaguzi hapa; bali ni uchafuzi tu.
 
Ndugu ndugu wapinzani,
Mumeona jinsi munavyo enguliwa na hao NEC bila sababu za msingi.
Mumeona jinsi haki yenu ya uchauguzi isivyopatikana kwa watu wetu kuengulia kwa sababu ya msingi (Breaches of Fundamental rights)
Mumeona jinsi mapingamizi yenu yanatupwa bila sababu za msisngi...
Hivi kweli mnavyoona mtapa haki sawa huko mbeleni? Thubutu

Kwa nini msiwafunguliwe kesi ya ubaguzi hao NEC na muiombe mahakama iistopishe NEC kuendesha au kusimamia zoezi zima la uchaguzi huu?

Kuendelea nayo hii NEC ya sasa maana yake ni kwamba :
1. Mumekubaliana na figisu zote za NEC za sasa
2. Mumekubali kwamba wakisha tangaza matokeo (Uraisi) hamtaweza kuyapinga au kuyahoji mahala popote Tanzania maana ni kinyume na sheria
3. Mumekubali kwamba uchaguzi utakuwa free na fair ingawaje yale yale yaliyotokea serikali za mitaa yanajirudia.
4. Mkiishitaki NEC kwa certificate of urgent (breaches of fundamental rights ) kwa kuwapendelea CCM au kwa kutofuata sheria za uchaguzi na kanuni zake kinachoweza kufanyika ni kati ya haya yafuatayo:

1. Mahakama kuwarudisha wagombea wote walionguliwa kwa sababu za magumashi
2. Mahakakam kuisimamisha NEC kuendela na zoezi zima la uchaguzi mpaka hapa watakopo kuwa wameonyesha kwamba wao sio biased
3. Mahakama kuagiza tume huru itayounda na watu huru...

Hii ndio njia pekee iliyobakia kwa sasa hadi 28 October.
Tarehe nyingine ya uchaguzi inaweza kupangwa (kama itakavuo amuliwa na mahakama) ili kurekebisha dosari zote za uchaguzi kurekebishwa...
Hamuwezi kuendelea na ushaguzi huu ili hali ubaguzi wa haki zenu za msingio ziko wazi... referee wenu- NEC- hana uwe3zo tena wa kusimamia zoezi zima la uchaguzi utao kuwa free an fair maana tayari amekwisha onesha uwezo wake - hana uwezo huo kwa kuusimamia

Ni ushauri tu na maoni yangu binafsi... si lazima mmchukue... msipotaka hivyo, hakuna njia ya kuyahoji matokeo wala ukiukwaj wa taratibu maana mtakuwa mmekubaliana na yote NEC iliyowafanyia...
Mahakama nayo ni CCM. Wapinzani hawana pa kutokea. Wanapigwa kila kona. Wakubali kufa au kupigania uhai.
 
Ndugu ndugu wapinzani,
Mumeona jinsi munavyo enguliwa na hao NEC bila sababu za msingi.
Mumeona jinsi haki yenu ya uchauguzi isivyopatikana kwa watu wetu kuengulia kwa sababu ya msingi (Breaches of Fundamental rights)
Mumeona jinsi mapingamizi yenu yanatupwa bila sababu za msisngi...
Hivi kweli mnavyoona mtapa haki sawa huko mbeleni? Thubutu

Kwa nini msiwafunguliwe kesi ya ubaguzi hao NEC na muiombe mahakama iistopishe NEC kuendesha au kusimamia zoezi zima la uchaguzi huu?

Kuendelea nayo hii NEC ya sasa maana yake ni kwamba :
1. Mumekubaliana na figisu zote za NEC za sasa
2. Mumekubali kwamba wakisha tangaza matokeo (Uraisi) hamtaweza kuyapinga au kuyahoji mahala popote Tanzania maana ni kinyume na sheria
3. Mumekubali kwamba uchaguzi utakuwa free na fair ingawaje yale yale yaliyotokea serikali za mitaa yanajirudia.
4. Mkiishitaki NEC kwa certificate of urgent (breaches of fundamental rights ) kwa kuwapendelea CCM au kwa kutofuata sheria za uchaguzi na kanuni zake kinachoweza kufanyika ni kati ya haya yafuatayo:

1. Mahakama kuwarudisha wagombea wote walionguliwa kwa sababu za magumashi
2. Mahakakam kuisimamisha NEC kuendela na zoezi zima la uchaguzi mpaka hapa watakopo kuwa wameonyesha kwamba wao sio biased
3. Mahakama kuagiza tume huru itayounda na watu huru...

Hii ndio njia pekee iliyobakia kwa sasa hadi 28 October.
Tarehe nyingine ya uchaguzi inaweza kupangwa (kama itakavuo amuliwa na mahakama) ili kurekebisha dosari zote za uchaguzi kurekebishwa...
Hamuwezi kuendelea na ushaguzi huu ili hali ubaguzi wa haki zenu za msingio ziko wazi... referee wenu- NEC- hana uwe3zo tena wa kusimamia zoezi zima la uchaguzi utao kuwa free an fair maana tayari amekwisha onesha uwezo wake - hana uwezo huo kwa kuusimamia

Ni ushauri tu na maoni yangu binafsi... si lazima mmchukue... msipotaka hivyo, hakuna njia ya kuyahoji matokeo wala ukiukwaj wa taratibu maana mtakuwa mmekubaliana na yote NEC iliyowafanyia...
Wao kazi yao kuimba ni yeyeeee ni yeyeee badala ya kufanya mambo ya msingi kama haya.
 
Hii kauli mmeisahau? "Nikuteuwe mimi kuwa Mkurugenzi, nikupe gari, nikupe nyumba, nikupe mshahara na posho halafu umtangaze mpinzani mshindi!!".

Hii kauli ilithibitisha kuwa CCM imefanikiwa kufikia kiwango cha juu cha ujeuri kiasi cha kutohitaji tena ridhaa ya wananchi kubaki madarakani. Na inawezekana Watanzania wengi kufikiri kuwa hili ni tatizo la “wapinzani” - wao hawahusiki. Na hapa ndipo lilipo janga la taifa letu “national tragedy”. watu kufikiri kinachoendelea kwenye siasa ni matatizo ya Magufuli vs Lissu & Kabwe, Gwajima vs Mdee, Tulia vs Sugu, n.k.

Watanzania wangefahamu kuwa nchi kama Equatorial Guinea, Central African Republic na Congo DR zilipitia hatua hizi hizi kufikia majanga ya kitaifa yanayozitesa hadi leo, wasingepuuza (ignore) na kujivua wajibu wa kusimamia viongozi wa kisiasa kiasi cha kuwapa jeuri ya aina hii. Labda siku maumivu yakikolea kwa wengi, ndipo unafiki utawekwa pembeni.
 
Tatizo la Chadema ni SACOS ya Mbowe na familia yake, lini wanaweza kutengeneza mbinu za kuongoza wakati wamekaa kushibisha matumbo yao? Hizi kampeni ndio zinawavua nguo sasa.
 
Resistance ya hali ya juu inatakiwa kuanzia sasa kabla hata ya kampeni kuanza.
Hiyo resistance kumweka madarakani Chadema? You must be dreaming, CCM hata kama wana matatizo sio sababu ya kuwaweka CHADEMA. Matatizo yako wewe binafsi na kujiangalia wewe mwenyewe na familia yako ndio yanakusukuma na hoja potofu.

Leo hii hata ukiambiwa mnapewa nchi mna sera gani nyie ya kuinua maisha ya Mtanzania? FYI Watanzania sio wajinga hizo sarakasi mnazozipiga kia mwaka zinafahamika.
 
Hiyo resistance kumweka madarakani Chadema? You must be dreaming, CCM hata kama wana matatizo sio sababu ya kuwaweka CHADEMA. Matatizo yako wewe binafsi na kujiangalia wewe mwenyewe na familia yako ndio yanakusukuma na hoja potofu.

Leo hii hata ukiambiwa mnapewa nchi mna sera gani nyie ya kuinua maisha ya Mtanzania? FYI Watanzania sio wajinga hizo sarakasi mnazozipiga kia mwaka zinafahamika.

Sidhani kama hata wewe unaifahamu sera ya CCM ya “kuinua maisha ya wananchi”. Kama sivyo, itaje.
 
Hii kauli ilithibitisha kuwa CCM imefanikiwa kufikia kiwango cha juu cha ujeuri kiasi cha kutohitaji tena ridhaa ya wananchi kubaki madarakani. Na inawezekana Watanzania wengi kufikiri kuwa hili ni tatizo la “wapinzani” - wao hawahusiki. Na hapa ndipo lilipo janga la taifa letu “national tragedy”. watu kufikiri kinachoendelea kwenye siasa ni matatizo ya Magufuli vs Lissu & Kabwe, Gwajima vs Mdee, Tulia vs Sugu, n.k.

Watanzania wangefahamu kuwa nchi kama Equatorial Guinea, Central African Republic na Congo DR zilipitia hatua hizi hizi kufikia majanga ya kitaifa yanayozitesa hadi leo, wasingepuuza (ignore) na kujivua wajibu wa kusimamia viongozi wa kisiasa kiasi cha kuwapa jeuri ya aina hii. Labda siku maumivu yakikolea kwa wengi, ndipo unafiki utawekwa pembeni.
Umeandika kwa hisia Kali sana. Nimekuelewa sana mkuu!
 
Hiyo resistance kumweka madarakani Chadema? You must be dreaming, CCM hata kama wana matatizo sio sababu ya kuwaweka CHADEMA. Matatizo yako wewe binafsi na kujiangalia wewe mwenyewe na familia yako ndio yanakusukuma na hoja potofu.

Leo hii hata ukiambiwa mnapewa nchi mna sera gani nyie ya kuinua maisha ya Mtanzania? FYI Watanzania sio wajinga hizo sarakasi mnazozipiga kia mwaka zinafahamika.
Waache watu wafanye wanachokiamini. Usiwapangie ili mradi hawavunji sheria za nchi.
 
Back
Top Bottom