Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,645
Kuna mambo hayahitaji akili kubwa sana kuyaelewa namna yanavyoenda/endeshwa.
Hii kauli mmeisahau? "Nikuteuwe mimi kuwa Mkurugenzi, nikupe gari, nikupe nyumba, nikupe mshahara na posho halafu umtangaze mpinzani mshindi!!". Maneno hayo ni mazito sana na yanatanabaisha namna mambo yanavyoanza kuwaendea kombo wapinzani hata kabla ya kuanzwa kwa kampeni.
NEC sio wenzetu, Polisi vivyo hivyo! Mahakama nazo zimekosa weledi wa namna ya kuzisimamia sheria. Upinzani usitegemee muujiza kwani hakuna Mkurugenzi ambaye atakubali kupoteza 'ugali' wake kwa kumtangaza mpinzani kuwa mshindi.
Kwa hali ilivyo sasa, "Wananchi tutachagua, NEC watateuwa".
Hii kauli mmeisahau? "Nikuteuwe mimi kuwa Mkurugenzi, nikupe gari, nikupe nyumba, nikupe mshahara na posho halafu umtangaze mpinzani mshindi!!". Maneno hayo ni mazito sana na yanatanabaisha namna mambo yanavyoanza kuwaendea kombo wapinzani hata kabla ya kuanzwa kwa kampeni.
NEC sio wenzetu, Polisi vivyo hivyo! Mahakama nazo zimekosa weledi wa namna ya kuzisimamia sheria. Upinzani usitegemee muujiza kwani hakuna Mkurugenzi ambaye atakubali kupoteza 'ugali' wake kwa kumtangaza mpinzani kuwa mshindi.
Kwa hali ilivyo sasa, "Wananchi tutachagua, NEC watateuwa".