juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Aveva amearib tim ni her aondoke
Nimetumia neno wadau nikimaanisha wadau wote wa soka, mwenzenu wiki hii nimechanganyikiwa sana na hii Simba
Nini Kifanyike Jamani, hali hii imekuwa mbaya sana mwaka huu, hatujawahi kufurahi walau mara mbili mfululizo, tukifurahi inafuta sare au kipigo
maoni ya kujenga jamani si ya kubeza, nisije geuka yule shabioki wa Kenya
Mkuu Amavubi kwa hali ilivyo sasa, Simba Sc tunahitaji muujiza zaidi ya ule "ngamia kupenya katka tundu la sindano" ili tuweze kumaliza angalau nafasi ya 4 msimu huu. Ila pamoja na yote hayo tarehe 08/03 ushindi upo palepale.
NB: Bado nipo naomboleza matokeo ya juzi.
Kama tukiamka kuanzia mechi ijayo, hata ubingwa unawezekana, maana kiukweli sio kwamba wa kwanza katuacha saaaaana, ni michezo kama minne, ila nafasi ya tatu na ya nne vinawezekana kabisa!
Simba hata iwe mbovu kiasi gani, Yanga huwa wanakalishwa, Yanga wenyewe wanajua hili halina ubishi.
Ligi ya bongo mwaka huu aileweki
ligi siyo simba na yanga mkuuKama tukiamka kuanzia mechi ijayo, hata ubingwa unawezekana, maana kiukweli sio kwamba wa kwanza katuacha saaaaana, ni michezo kama minne, ila nafasi ya tatu na ya nne vinawezekana kabisa!
Simba hata iwe mbovu kiasi gani, Yanga huwa wanakalishwa, Yanga wenyewe wanajua hili halina ubishi.
Ndala katuacha pointi 11, tarehe 8/3 tunamfunga zinabaki point 8 ambazo ni kama gemu 3.. tatzo lililopo ni je ndala ataweza poteza mechi 3 na si tushinde zote?! Jibu ni Hapana. Pia timu zilizo nyuma ya Ndala zipo vizuri, Mf. Kagera Sugar ambayo imeshinda mfululizo mechi za karibuni hadi kufika no. 3.
Timu yetu imekosa consistency ndo mana leo tunashinda kesho tunadraw keshokutwa tunafungwa. Eeeh Mungu saidia hili pepo linalotukumba hivi sasa, liwavuruge pia na watesi wetu wote ili tusichekane mtaani.
kushangilia ni hulkaMuache sifa,siku nyingine mkiambiwa timu BOVU msibishe....pili...walipeni mshahara na posho nzuri...Tatu..mkishinda mechi ijayo mshishangilie kabisaaaaaa..
siweki LIKE hapaMuache sifa,siku nyingine mkiambiwa timu BOVU msibishe....pili...walipeni mshahara na posho nzuri...Tatu..mkishinda mechi ijayo mshishangilie kabisaaaaaa..
Mkuu ubingwa ndo basi tena na mechi ambazo zimetukosesha ubingwa ni ile ya Mbeya City na ya Stand united. Sare zile za mwanzo mwanzo nazo zimetucost sana.Ndala katuacha pointi 11, tarehe 8/3 tunamfunga zinabaki point 8 ambazo ni kama gemu 3.. tatzo lililopo ni je ndala ataweza poteza mechi 3 na si tushinde zote?! Jibu ni Hapana. Pia timu zilizo nyuma ya Ndala zipo vizuri, Mf. Kagera Sugar ambayo imeshinda mfululizo mechi za karibuni hadi kufika no. 3.
Timu yetu imekosa consistency ndo mana leo tunashinda kesho tunadraw keshokutwa tunafungwa. Eeeh Mungu saidia hili pepo linalotukumba hivi sasa, liwavuruge pia na watesi wetu wote ili tusichekane mtaani.
Kuacha kushangilia wakati timu imeshinda ni ujuha usio kifani.Muache sifa,siku nyingine mkiambiwa timu BOVU msibishe....pili...walipeni mshahara na posho nzuri...Tatu..mkishinda mechi ijayo mshishangilie kabisaaaaaa..
Muache sifa,siku nyingine mkiambiwa timu BOVU msibishe....pili...walipeni mshahara na posho nzuri...Tatu..mkishinda mechi ijayo mshishangilie kabisaaaaaa..
tukubali kuwa na subira hadi vijana watakapokomaa lkn najiuliza tumsubiri messi akomae??
Swali ni je ataachwa aendelee kuwepo hadi msimu ujao? Na je mwisho wa ligi hawataondolewa baadhi ya wachezaji na kuletwa wapya? Na wale ambao mikataba yao inaisha je wataongezewa?Mkuu Masuke nimekusoma vyema, cha kufanya sasa ni kuendelea kuvumilia maumivu katika hizi mechi zilizobaki. Ila naamini msimu ujao Simba Sc chini ya Goran Kopunovic itakua imara zaidi.
Swali ni je ataachwa aendelee kuwepo hadi msimu ujao? Na je mwisho wa ligi hawataondolewa baadhi ya wachezaji na kuletwa wapya? Na wale ambao mikataba yao inaisha je wataongezewa?