Tumia Lockdown Pro.. Unaweza lock kila application unayotaka.. Unaweza lock picha mojamoja... Pia unaweza kujua aliejaribu kuunlock sim yako sababu unaweza kuset m2 akikosea password inampiga picha bila kujua...
Me natumi KEEPSAFE kaz ya app hii na faida yake ni kuifadhi picha ukidowload unaikingia kwa kutumia email na password inaifadhi picha ata simu yko ikipotea na pale utaponunua simu nyngne basi picha zako utazikuta pamoja na videos na documents nyngne unazotaka kuifadhi
Mkuu naomba msaada wa apps nzuri ya fonts kwenye simu ya TECNO C9...nimeroot ila nikidownlod ifont kwenye playstore niki badili ina change kwenye browser tu ila kwenye kichwa cha simu aibadiliki...
Mkuu naomba msaada wa apps nzuri ya fonts kwenye simu ya TECNO C9...nimeroot ila nikidownlod ifont kwenye playstore niki badili ina change kwenye browser tu ila kwenye kichwa cha simu aibadiliki...
Mkuu naomba msaada wa apps nzuri ya fonts kwenye simu ya TECNO C9...nimeroot ila nikidownlod ifont kwenye playstore niki badili ina change kwenye browser tu ila kwenye kichwa cha simu aibadiliki...