Sure, nakumbuka
Tena ulianzisha JF baada ya kukataa wazo langu la mimi na wewe kuanzisha familia.
Hata hivyo baadae JF ilipokua hacked na ndugu Melo ulinisihi sana turudi kwenye wazo letu la awali la kuanzisha familia.
Sehemu pekee tulishindwa kuelewana ulikataa wish yangu ya kuwa na watoto wawili, wewe ulitaka watatu.
Nikakuambia nimekubali wish yako kwahivyo unicheki PM
It's pity hukuwahi kufanya hivyo
Sent using
Jamii Forums mobile app