Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,011 Reaction score 150,545 Apr 24, 2016 #1 Naomba msaada wapendwa,, natanguliza salam,, ni kweli siwezi kuamisha baadhi ya vitu mfano music au picture kutoka simu ya android mfano tecno bum j 7 kwenda iphone yeyote??,tusaidiane
Naomba msaada wapendwa,, natanguliza salam,, ni kweli siwezi kuamisha baadhi ya vitu mfano music au picture kutoka simu ya android mfano tecno bum j 7 kwenda iphone yeyote??,tusaidiane
Jambazi JF-Expert Member Joined Jan 18, 2014 Posts 16,654 Reaction score 18,801 Apr 24, 2016 #2 Iphone ni Milion 1 na nusu! Tukua hiyo laki tano andaa banda la kuku Hiyo milion 1 itumie kununua vifarang! Hiyo hela milion 1.5 ukiiwekeza kwenye mradi wa ufugaji wa kuku ndani ya mwezi 1 tu utaingiza faida na utakuwa na hela ya kununua iphone os na adroid!
Iphone ni Milion 1 na nusu! Tukua hiyo laki tano andaa banda la kuku Hiyo milion 1 itumie kununua vifarang! Hiyo hela milion 1.5 ukiiwekeza kwenye mradi wa ufugaji wa kuku ndani ya mwezi 1 tu utaingiza faida na utakuwa na hela ya kununua iphone os na adroid!
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,011 Reaction score 150,545 Apr 24, 2016 Thread starter #3 Jambazi said: Iphone ni Milion 1 na nusu! Tukua hiyo laki tano andaa banda la kuku Hiyo milion 1 itumie kununua vifarang! Hiyo hela milion 1.5 ukiiwekeza kwenye mradi wa ufugaji wa kuku ndani ya mwezi 1 tu utaingiza faida na utakuwa na hela ya kununua iphone os na adroid! Click to expand... Najua mkuu,, ila sijamanisha ivoo,,soma uelewe mkuu
Jambazi said: Iphone ni Milion 1 na nusu! Tukua hiyo laki tano andaa banda la kuku Hiyo milion 1 itumie kununua vifarang! Hiyo hela milion 1.5 ukiiwekeza kwenye mradi wa ufugaji wa kuku ndani ya mwezi 1 tu utaingiza faida na utakuwa na hela ya kununua iphone os na adroid! Click to expand... Najua mkuu,, ila sijamanisha ivoo,,soma uelewe mkuu
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,228 Reaction score 44,234 Apr 24, 2016 #4 tumia app inaitwa xender ipo store zote mbili kwa iphone na android