Tusaidiane waungwana (iPhone vs android phones)

Lee

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
44,011
Reaction score
150,545
Naomba msaada wapendwa,, natanguliza salam,, ni kweli siwezi kuamisha baadhi ya vitu mfano music au picture kutoka simu ya android mfano tecno bum j 7 kwenda iphone yeyote??,tusaidiane
 
Iphone ni Milion 1 na nusu!


Tukua hiyo laki tano andaa banda la kuku

Hiyo milion 1 itumie kununua vifarang!


Hiyo hela milion 1.5 ukiiwekeza kwenye mradi wa ufugaji wa kuku ndani ya mwezi 1 tu utaingiza faida na utakuwa na hela ya kununua iphone os na adroid!
 
Reactions: Lee
Najua mkuu,, ila sijamanisha ivoo,,soma uelewe mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…