Nashukuru sana nduguPole sana. Nakushauri wasiliana jamaa wa admission kwa namba 0765997885 au 0692762372 wanaweza kukusaidia. Kila la kheri!
SUA unaedit hata mara 10, wala haisumbui.Sijui huwa mnaharaka gani? Wahenga wanasema harakaharaka haina baraka!!!
Kwa kawaida ukisha submit huwezi Fanya mabadiliko ya aina yoyote labda jaribu kuwasiliana nao
Sure! Mbona najaribu ku-attach cheti kinagoma?Mbona sua kuedit inawezekana tu
Kwa undergraduate hakuna cheti cha kuapload.Sure! Mbona najaribu ku-attach cheti kinagoma?