Ntazingatia ushauri wako mkuu,,,thanx alot for concerFanya maandalizi yako mwenyewe. Jijenge kuwa mume na baba bora kwa familia yako. Jijenge kujiandaa na maisha ya ndoa.
My point; Ukifika wakati wa kuoa, hutohitaji kuorodhesha wanawake wanne wa kuoa. Ukifika muda wa kuoa, utamjua!
Usijistress sana kuchagua na kuuliza kwa watu..ukishaona mtu unahitaji kumwombea ushauri kwa watu, jua WITO BADO!!!
Fanya maandalizi yako mwenyewe. Jijenge kuwa mume na baba bora kwa familia yako. Jijenge kujiandaa na maisha ya ndoa.
My point; Ukifika wakati wa kuoa, hutohitaji kuorodhesha wanawake wanne wa kuoa. Ukifika muda wa kuoa, utamjua!
Usijistress sana kuchagua na kuuliza kwa watu..ukishaona mtu unahitaji kumwombea ushauri kwa watu, jua WITO BADO!!!
ha ha haha ndorobo na usiponioa si nitakuwa nimefilisika papuchinoNdoroboo ngoja ninunuegazeti nijipepe
At 25 huhitaji kuwa na mawazo/stress juu ya mke kijana.
hapo hakuna hata mmoja anaefaa kuwa mke kwako, kwani ww ndo haufai kuwa mume kwa yeyote isipokuwa una mpango wa kutengeneza watoto wa mitaani, kwanza wanajua kam upo jf??? wanawake wa jf angalieni inaweza mkawa ndo ninyi
Basi haina shida, wote unaweza kuwaoa endapo mtakubaliana.Mi muumini wa imani iyo mkuu
basi sa hivi ni nunulie vitz