Turudi nyuma kidogo

Turudi nyuma kidogo

Kapepa Maswanya

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
265
Reaction score
107
Wakuu niliomba kuuliza hivi lile bas la Mzee white lililokuwalimeandikwa friends of lowasa ule mwaka Jana wakati wa anatafuta wadhamini ccm liko wap saiz!!!
 
Wakuu niliomba kuuliza hivi lile bas la Mzee white lililokuwalimeandikwa friends of lowasa ule mwaka Jana wakati wa anatafuta wadhamini ccm liko wap saiz!!!
Lile ni basi la kukodi kwenye kampuni fulani na ile rangi ilokuwa imepakwa kimuonekano sio rangi ile ni stika limebandikwa hivyo mkataba aloingia nalo kufanyia kampeni ukiisha wanabandua stika yao gari linaendelea na shughuli za kampuni yake kama mwanzo lilivyokuwa!!
 
Waliokuwa na mabus hakuwa Lowassa peke yake.
January Makamba alikuwa nalo, Samuel Sitta alikuwa nalo pia.
Mbona hao huwaulizii???
Yale mabus huwa yanakodishwa na zile ni just stickers zinabandikwa na baada ya kampeni unarudisha kwa wamiliki.
Ni kama ilivyo sasa kwenye kampeni za USA kuna ndege utaziona zina stickers za Donald Trump na nyingine za Hillary Clinton Zile zimekodishwa kwa kampeni na baada ya kampeni wanarudisha kwa wamiliki.
Hata helicopter aliyoanguka nayo Marehemu Filikunjombe ilikuwa imekodiwa toka Kenya na CCM na ilibandikwa stickers za CCM.
Anyway maelezo yote haya niliyokupa I doubt kama ulikuwa unayahitaji maana issue yako umeiulizia KINAFIKI zaidi kwa Lowassa tu.
 
Back
Top Bottom