Turkish President warns

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,590
20,899
safe_image.php

WE CAN OCCUPY RUSSIA WITHIN SEVEN DAYS...

superstation95.com
 
ha ha ha ha ha ha ....! NATO inatia watu kiburi sana . Hayo ni maneno ya asiye jiamini . SASA SUBIRI BLACKBOX ya ile jet ifunguliwe
 
Bora mm niseme naweza kuoccupy simu yangu mana ninayo...haya mengine ni utani tu...au ni story ya kufikirika..Uturuki hawezi hata kusogeza pua tu kwa Urusi manake atapigwa atajiharishia
 
Huyu jamaa namfananisha na mwanamke ambaye anatunisha mabega kwa mme wake ilihali anapigwa kama mtoto.
 
Back
Top Bottom