huyo ni mtuu mmoja? dah, lakini ninachofurahi huyo mzungu analipa kodi. naona mashine za EFD zinafanya kazi na hawezi kukwepa kodi labda akale dili na TRA wakati wa kulipa.
We can take you out of the bush but bush cannot take out of you!! Hiyo kawaida its not special mpaka utangaze si uliona watu walivyojaa!!😂😂