Tupike ugali na mlenda

Hahaha.........njoo umsaidie Bibi yako kunilea, si unajua sisi tuliozaliwa Mwaka 47 tumeruhusiwa kuongeza wake tukizeeka πŸ€—

I pray for you Mjukuu, hopefully you will have one, when the right time comes πŸ™
😁😁😁Asante kwa maombi babu, na mimi ntaendelea kujiombea
 
Kuna sehemu zingine hawajui kama mlenda ni mboga, wengine hawali sababu ya usumbufu wa ile michuzi ya milenda.

But trust me, mlenda ni remedy nzuri ya kusawazisha tatizo la constipation na kuweka sawa flow ya chakula kwenye mmeng'enyo.
 
Inapendeza babu
 
Kuna sehemu zingine hawajui kama mlenda ni mboga, wengine hawali sababu ya usumbufu wa ile michuzi ya milenda.

But trust me, mlenda ni remedy nzuri ya kusawazisha tatizo la constipation na kuweka sawa flow ya chakula kwenye mmeng'enyo.
Wanyakyusa hatuli kabisa
 
Sema ugali na mlenda pekee huwa hainogi. Mlenda na ugali unakuwa mtamu ukipata mboga nyingine pembeni yake kama nyama rosti au samaki rosti
 
Sema ugali na mlenda pekee huwa hainogi. Mlenda na ugali unakuwa mtamu ukipata mboga nyingine pembeni yake kama nyama rosti au samaki rosti
 
Je magadi husaidia nini kwenye mapishi ya mlenda ?
Magadi hayana madhara kiafya?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…