Tupike simple and light breakfast

Leejay49

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
19,295
Reaction score
60,915
Hello 👋,.
Leo si nikapika bhana halafu nikalala nikasahau kupost wakati nlishapiga Hadi picha,..

Haya tuanze,. Ingredients ni ndizi mbivu,. Maziwa ya Unga,. Kahawa na sukari

Kwenye kikombe chako kisafi utaanza kuweka sukari kijiko kimoja

Utafatia na kahawa nusu au robo kijiko,. Mie nliweka robo kijiko cha chakula

Then utaweka maziwa ya Unga vijiko viwili au vitatu kulingana na wewe unavyopendelea,. Mie nliweka vitatu

Baada ya hapo utamiminia maji yako ambayo ulishachemsha kama hivi

Make sure umekoroga vizuri kabisaa maziwa yasijiweke mabongebonge

Then chukua ndizi yako mbivu imenye vizuri unakunywa na chai kama hivi,. Very simple huwashi hata jiko yaani

Sema hii ndizi bhana😌,,. Anyway nilienjoy breakfast yangu
 
Mdalasini, hiriki, karafuu na pilipili manga ya unga inafaa kuchanganywa pamoja kwa chai ?
 
Punguza sukari best🤣🤣🤣 sukari hiyo uliotumia ni nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…