Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,463
- 65,772
Hell
Nimekimbia mbio kwenda likizo nilipofika home nikaona niwaandalie maandazi kuepuka kuchomoana hela ya vitafuno morng
So nikaanda unga wa ngano wa PPF kisha hamira, sukari, sodabik, barking powerd na irick
Nilianza na kuchekecha unga wa ngano na kuweka sukari pamoja na sodabik na barnking powerd na maziwa nikiwa naweka polepole kisha nikaanza kukanda
Kanda mpaka pale ngano itakapo acha kushika mkononi ngano yako isiwe ngumu iwe lain
Kisha acha ya ngano iumuke ila mimi sifanyi ivyo uwa nayakata kisha ndio yakianza kuumuka ndio na ya choma moja kwa moja
Unaona haya ndio maamdazi nilio yatengeneza ni mazuri sana karibuni kujifunza
Ukianza kuchoma usiweke moto mkali sana
Nimekimbia mbio kwenda likizo nilipofika home nikaona niwaandalie maandazi kuepuka kuchomoana hela ya vitafuno morng
So nikaanda unga wa ngano wa PPF kisha hamira, sukari, sodabik, barking powerd na irick
Nilianza na kuchekecha unga wa ngano na kuweka sukari pamoja na sodabik na barnking powerd na maziwa nikiwa naweka polepole kisha nikaanza kukanda
Kanda mpaka pale ngano itakapo acha kushika mkononi ngano yako isiwe ngumu iwe lain
Kisha acha ya ngano iumuke ila mimi sifanyi ivyo uwa nayakata kisha ndio yakianza kuumuka ndio na ya choma moja kwa moja
Unaona haya ndio maamdazi nilio yatengeneza ni mazuri sana karibuni kujifunza
Ukianza kuchoma usiweke moto mkali sana