Tupike kashata za nazi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,913
Reaction score
67,435
Hell
Mliomba sana nipike kashata za nazi hizi hapa


Kwanza kuna nazi yako vzr tu

Ukisha maliza anza kuweka maji kwenye sufuria yako kisha weka sukari pamoja na vanila acha vichemke kiasi iwe ina nata nata fanya kama hivi


Baada ya hapo anza kukologa pole pole ukiwa teyari umesha weka nazi yako yaan machicha ya nazi

Hakikisha ukiipua nazi yako haina maji iwe kavu kisha weka kwenye ubao au mezani anza kukatakata uku umewasha feni ili ziwai kukauka

Utakata style uipendayo wewe mimi nimekata style hii
 
Niliposoma heading nikataka kupita ila nikajisema, huyu yupo nchini kweli au?.

Wananchi wanataka nchi ipone wewe unawafundisha kashata za kunywea alkasusu daaa!.

Ona hii 29.10.2025
😂😂😂 refresh muhimu
 
Samahani uli kalia kigoda ndio uka kuna nazi au uli kalia ile mbuzi?.

Zulu man, Vishu Mtata njooni mpike kashata.
Hapo lazima akalie mbuzi kukuna nazi , akikaa kwenye kigoda mbuzi itakosa balance wakati wa kukuna , na akikalia mbuzi lazima afyetue kiuno kidogo ili akune nazi, njia nzuri kutunza heshima ya kiumeni ni kukaa upande miguu ielekee upande mmoja 🤣
 
Huyu ni mbunifu, so ali kalia mbuzi ndio maana nazi ime sagika vere.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…