Ni kwa muda sasa umekuwepo unyanyapaaji mkubwa kwa watu wanaoshindwa masomo ya sekondari maarufu kama ''div zero''
wanaitwa kila majina ya hovyo kama wamezungusha vilaza na mambo ya ajabu ajabu.
Kwanza sio kweli wanaofeli sekondari basi hawawezi chochote maishani kana kwamba ni ndondocha au mataahira.
Wapo waliofeli kwa kukosa maandalizi mazuri ikiwemo upungufu wa madarasa walimu na vifaa vya kufundishia kama maabara etc.
Sasa kusema fulani kazungusha kana kamba katenda jinai hapana ifike wakati sasa tukatae namna hii ya unyanyapaa na ifike sehemu watoto wakifeli wazazi wawashitaki walimu na wadai fidia. Ni jukumu la mwalimu kumfdundisha mtoto nani dhamana yake.
wanaitwa kila majina ya hovyo kama wamezungusha vilaza na mambo ya ajabu ajabu.
Kwanza sio kweli wanaofeli sekondari basi hawawezi chochote maishani kana kwamba ni ndondocha au mataahira.
Wapo waliofeli kwa kukosa maandalizi mazuri ikiwemo upungufu wa madarasa walimu na vifaa vya kufundishia kama maabara etc.
Sasa kusema fulani kazungusha kana kamba katenda jinai hapana ifike wakati sasa tukatae namna hii ya unyanyapaa na ifike sehemu watoto wakifeli wazazi wawashitaki walimu na wadai fidia. Ni jukumu la mwalimu kumfdundisha mtoto nani dhamana yake.