Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,017
- 2,594
Salamu wakuu Nina ndoto ya kujiunga na jeshi kama kuna MTU ana experience na harakati zote na changamoto kiujumla za kujiunge anipe walau fununu wakuu .
Magum balaaKweli maisha magumu,mpaka raia wanataka kujilipua jeshini
yaani wewe kitu usichokijua ni bora unyamaze kulko kukiongelea we una uhakika polisi haijachukua??Jeshi gani sasa maana tuna majeshi mengi,i.e jwtz,police na magereza na yote nowdays kupata chance ni mtiti,such example mpaka sasa polisi haijachukua vijana wa kwenda mafunzoni ila cha muhimu all in all subiri nafasi za jkt uanzie hapo,maana ukihitimu jkt ndio kazi ya kuanza kuomba uanajeshi,upolisi nk inaanzia hapo,ila directly labda kama kamishna au brigedia babaako ana undugu naye
yaani wewe kitu usichokijua ni bora unyamaze kulko kukiongelea we una uhakika polisi haijachukua??Jeshi gani sasa maana tuna majeshi mengi,i.e jwtz,police na magereza na yote nowdays kupata chance ni mtiti,such example mpaka sasa polisi haijachukua vijana wa kwenda mafunzoni ila cha muhimu all in all subiri nafasi za jkt uanzie hapo,maana ukihitimu jkt ndio kazi ya kuanza kuomba uanajeshi,upolisi nk inaanzia hapo,ila directly labda kama kamishna au brigedia babaako ana undugu naye
yaani wewe kitu usichokijua ni bora unyamaze kulko kukiongelea we una uhakika polisi haijachukua??Jeshi gani sasa maana tuna majeshi mengi,i.e jwtz,police na magereza na yote nowdays kupata chance ni mtiti,such example mpaka sasa polisi haijachukua vijana wa kwenda mafunzoni ila cha muhimu all in all subiri nafasi za jkt uanzie hapo,maana ukihitimu jkt ndio kazi ya kuanza kuomba uanajeshi,upolisi nk inaanzia hapo,ila directly labda kama kamishna au brigedia babaako ana undugu naye