Tupeane taarifa kuhusu umeme

Tupeane taarifa kuhusu umeme

nolieonlytruth

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
340
Reaction score
64
Jamani huku kisongo(Arusha) hali ya umeme ni ile ile...mchana upo ikifaka SAA 12:00 unakatwa......huko kwingine vipi tupeane info Bandungu.... ROGER THAT
 
Jamani huku kisongo(Arusha) hali ya umeme ni ile ile...mchana upo ikifaka SAA 12:00 unakatwa......huko kwingine vipi tupeane info Bandungu.... ROGER THAT

Kaka upo kisongo ndo home pia mimi naishi hapa mgao wa umeme sijui utaisha lini tumechoka!
 
Huku tabora Wamekata hadi saa nne ndio wanarudisha...zaidi ya wiki 3 sasa
 
Eti wanajaribu gas ukijaribu machine unazima au unawasha hawa jama mabwege kweli kweli!
 
Duh Poleni Huku Kwetu Umeme Toka Jana Yan Upo Full Raha Yani Gesi Inaanza Kuonyesha Mafanikio
 
sie huku ni kama hatuna huduma hii kitu inakatwa alfajiri na kurudishwa midnight yaani full karaha natamani oktoba 25 iwe wiki ijayo niamue hatma ya maisha yangu na kizazi changu.
 
morogoro mjini unakatwz saa mojausiku
 
Afadhali gesi isingeguduliwa maana kabla ya gesi umeme ulikuwepo full time. Nadhani umeme unatumika kuendesha mitambo ya kuchimbia gas. Energy input is greater than energy output.
 
Jamani huku kisongo(Arusha) hali ya umeme ni ile ile...mchana upo ikifaka SAA 12:00 unakatwa......huko kwingine vipi tupeane info Bandungu.... ROGER THAT

Arusha tatizo kubwa la umeme ni low voltage huko. Miundombinu inayoleta umeme huko hailingani na mahitaji halisi ya umeme huko. Umeme unaokuja huko ni kidogo alafu watu wanaotumia umeme ni wengi, mnajikuta mnagawana huo umeme unakua mdogo, kunakua na low voltage, maeneo mengi pia yako hivyo kam kigamboni,temeke na seem nyingime.

Kwa hiyo tulieni serikali sikivu ya ccm inalifanyia kazi hilo tatizo ingawa lipo na linajulikana toka tanesco ianze, nadhani 2025 litakua limeisha.

Usiniulize maswali mengine.
 
Acheni kulia mliyataka wenyewe na toka kwa ccm.
 
Back
Top Bottom