Samahani mkuu hii z-score.naomba.unifafanulie.ina maana gani na inatumikaje yaan ukishapata value yake unaitumia sehemu gani kama hutojari naomba unielekeze inatumikaje kwenye huo field ya ualimu mkuu lengo nipanue uelewa wangu.ahsanteh
Samahani mkuu hii z-score.naomba.unifafanulie.ina maana gani na inatumikaje yaan ukishapata value yake unaitumia sehemu gani kama hutojari naomba unielekeze inatumikaje kwenye huo field ya ualimu mkuu lengo nipanue uelewa wangu.ahsanteh
Kwa walimu Kuna Samples nimeziweka Kwenye Group kuhusiana na kuandaa matokeo
Hiyo ni kazi ya member mmoja humu humu JF ambaye alivutiwa na uzi huu... Imeshindikana ku attach hapa hivo kila kitu kipo Kwenye Group Letu la kujifunzia..
Kumbuka ni chanel ya telegram ambayo haina usumbufu wa chatting... Only two to three posts a day... Thread imekuwa ndefu so kule unaweza Pata mtiririko wote kiurahsi sana...
Kumbuka ni chanel ya telegram ambayo haina usumbufu wa chatting... Only two to three posts a day... Thread imekuwa ndefu so kule unaweza Pata mtiririko wote kiurahsi sana...