KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Napata walakini Kuwa Tume ya Warioba haikwenda Zanzibar!!Na kama ilikwenda haikufanya kazi iliyowapeleka!Na kama iliifanya basi haikuwawakilisha mawazo yao kwenye Rasimu hii!!
Kama kweli waliandika kile kilichoelezwa na wanzanzibar iweje leo hawakubaliani na Rasi ya Katiba hii??Au wanataka kutuaminisha kuwa wazanzibar ni wakorofi??Au ni njia yakuulinda muungano kwa njia za kibabaishaji??Yote yanahitaji majibu magumu na siyo mepesi!!
Kama kweli waliandika kile kilichoelezwa na wanzanzibar iweje leo hawakubaliani na Rasi ya Katiba hii??Au wanataka kutuaminisha kuwa wazanzibar ni wakorofi??Au ni njia yakuulinda muungano kwa njia za kibabaishaji??Yote yanahitaji majibu magumu na siyo mepesi!!