tuongee asubuhi star tv

tuongee asubuhi star tv

Joined
Mar 2, 2011
Posts
86
Reaction score
29
kaka Yahya hivi ulitumia kigezo gani kumualika huyu Makonda maana nadhani hafanyi constuctive arguments zaidi ya ushabiki tu
 
Ni kweli Chama changu kinakwepa sana nafasi kama hizi kutoa ufafanuzi muhimu kwa mambo muhimu yanayojiri.huyo Mkonda hana upeo mpana anapwaya sana kwenye hoja za msingi.
 
kama ingekua mpira angelala na viatu kwi,kwikwi wangemleta FULUKUNJOMBE mambo yange kua safi maana jamaa ni smart namkubali sana
 
Nape hayupo na kama angekuwepo asingethubutu kwenda kushindanisha hoja na Mnyika kwani uwezo wake ni mdogo sana na analitambua hilo. Sasa unategemea ccm wangemtuma nani kuwawakilisha?
Sasahivi wamekaa mbele ya tv zao wanashuhudia kijana wao anavyokukuruka.
 
Makonda ongelea Amani siyo CDM kila kitu, Mnyika waonyeshe ni kiasi gani CCM walivyojisahau
 
Askofu anasema wajifunze kutokumkataa mtu ila wakatae mawazo yake kama hayafai,wanasiasa wa sasa wanakataa watu ndiyo maana wanatafutana kumalizana kisiasa kwa hila.
 
Wanahubiri demokrasia, je wao wanaitekeleza kwenye vyama vyao kwa kiasi gani?
 
Mwaka wa Upendo na Uwajibikaji ni maneno ya Mhe.JJ.Mnyika Mbunge bora mwaka 2012.Mungu ampe pumzi ndefu kijana huyu
 
Mnyika anasema mwaka 2013 wananchi wanatakiwa kurudishiwa nguvu ya kuiwajibisha serikali, utakuwa mwaka wa hoja ngumu za rasilimali za nchi,utakuwa mwaka wa bunge la katiba na utakuwa mwaka wa jamii kupima utendaji wa serikali.Mnyika amehitimisha kwa kusema mwaka 2013 uwe mwaka wa upendo na uwajibikaji.
 
Tuwapime kwa yale waliyoyafanya - makonda
wasimamizi wa kipindi cha leo,hawakufanya haki ya kutusomea maswali na maoni yetu watazamaji,bado namuuliza mchungaji,atutajie matusi yanayotukanwa viongozi,isije kuwa ukweli kugeuzwa matusi
 
Kwa upeo na kiwango cha makonda kwenye medani ya siasa kupambanishwa na Mnyika, kajitahidi kwa kiasi chake kuliko wale wanaokimbia mijadala. Tusimwone hajafanya chochote.
 
wasimamizi wa kipindi cha leo,hawakufanya haki ya kutusomea maswali na maoni yetu watazamaji,bado namuuliza mchungaji,atutajie matusi yanayotukanwa viongozi,isije kuwa ukweli kugeuzwa matusi

Hujaeleweka mkuu, ulitaka wafanyeje maana naona walijitahidi kadri walivyoweza
 
wamejitaidi kwenye nini, walichosema ni CD na DVD.sasa hizi cd na dvd ni empty?,watuambie matusi yaliyo ndani ya cd hizo.
 
Back
Top Bottom