Paul Mabuga
Member
- Nov 25, 2010
- 10
- 2
Gharama za Umeme nchini zimepanda tangu tarehe 15 Januari, 2012. Tanesco walitaka kupandisha kwa asilimia 155 kwa hati ya dharula lakini EWURA wamepitisha zaidi ya asilimia 40 kama ongezeko. Je kuna justification ya kupandisha gharama hizi? Je baada ya kupanda --- nini athari kwa mlala hoi --- Tanesco watafikia malengo yao ya kufuta mgao na kuongeza wateja wapya? ........ na Je hakuna mbinu zozote mbadala za kukabiliana na changamoto za Tanesco zaidi ya kuongeza ankara kila Mara.
Tutakuwa nma wageni kutoka EWURA hapa Star TV ; Tafadhali changia Mada hii
Tutakuwa nma wageni kutoka EWURA hapa Star TV ; Tafadhali changia Mada hii