Watu wanahifadhi historia na kuirithisha kutoka kizazi mpaka kizazi ndiyo sababu leo hii Kuna nyumba kigamboni unaambiwa ndiyo aliyojificha JK mkubwa wakati wa jaribio la mapinduzi,
Watu wanahifadhi historia na kuirithisha kutoka kizazi mpaka kizazi ndiyo sababu leo hii Kuna nyumba kigamboni unaambiwa ndiyo aliyojificha JK mkubwa wakati wa jaribio la mapinduzi,
sasa kwanini makao makuu ya kanisa letu yapo roma wakati yesu alizaliwa na kuishi huku ina maana alipomsimika petro kuwa juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu walikuwa wapo vatkani na sio israel hii historia kuna haja ya kuitunga upya