Hakune asiyejua nn kilitoke huko Igunga kwani pamoja na vurugu zingine nyingi za hatari,kada wa chama kinachokuja kwa kasi ktk siasa za TZ ALIUWAWA, pamoja nafuraha ya wapenda haki tusiache kuombea uchaguzi huo kwa imani zetu.hatutaki kuona damu inamwagika tena,asanteni