johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Imebaki Mungu wa mbinguni tu atuhurumie ili Bei ya Mafuta isiendelee kupandisha gharama za Maisha
Nawatakia Dominica Njema 😀😂
Nawatakia Dominica Njema 😀😂
Kwahiyo anayepandisha bei mafuta ni Mungu? Kupandisha bei kushusha bei kazi zote anafanya mwanadamu.Imebaki Mungu wa mbinguni tu atuhurumie ili Bei ya Mafuta isiendelee kupandisha gharama za Maisha
Nawatakia Dominica Njema 😀😂
Wakati matajiri wanajichanga wachague mfalme wao sisi tulikuwa tumelala.Hili ni la ukweli, maisha yetu Watanganyika ni magumu mno kwa hii hawamu ya sita, matajiri ndiyo wanaofaidika.
Wakati matajiri wanajichanga wachague mfalme wao sisi tulikuwa tumelala.
Acha akili zitukae kwanza
Wakati matajiri wanajichanga wachague mfalme wao sisi tulikuwa tumelala