tuokoeni wadau atuelew

tuokoeni wadau atuelew

Don R

Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
17
Reaction score
4
hv jaman information managent ni cozi nzur au mbaya na ajira zke ni kama wp hv na je inalipa?
 
Mzee ukitaka maisha ya kushikiwa, endekeza "Inalipa" "Ina soko" "Kuna channel" kama hujui wapi unakwenda utahangaika tuu, mana hakutakua na njia ya kukupeleka
 
Information management ni nzuri,but akuna ajira zake za direct ko ujipange kustruggle kwenye soko la ajira but nakwambia ukisoma hiyo uwezi kuja kujuta maana utakula Sana mema ya nchi.
 
Nachojua kuhusu kupangwa chuo kunaambatana na maombi yako wewe, hawajakupangia ila wametimiza ulicho chagua, ni kweli?
 
Mimi naona huna sifa yeyote ya kwenda chuo kikuu.
Kuandika tu kwa ufasaha huwezi sasa huko chuo unaenda kufanya nini?
 
Nakumbuka kwa mara ya kwanza nilijiunga na jamii Forums kuomba ushauri kama nikifanikiwa kusoma chuo nisomee kozi gani itakayoambatana na ndoto yangu (Nikaitaja) but sikuuliza nisomee kozi gani kwa kuwa tuu nina access ya kwenda chuo. No, watu watakusaidia kama umeambatanisha ndoto, ikitokea mtu anakupangia cha kusoma, mwambie baaada ya chuo akupangie na kazi.
 
Hatukukatishi tamaa, ila nadhani ungeomba wadau wakupe hints, info, values za hiko unacho somea ili wewe ndio ulipe thamani kisha kikuingizie hela, ila kussema kama ina soko ni kujikatisha tamaa, haya mf. tukasema "Haina soko" Utaacha kusoma?
 
Mungu anisamehe....wewe umefaulu form six?mhh
ndyo ila ss kuna vyuo nliomba kama ardhi maswala ya archtrcture ndo nlokua nataka ss nashangaa wamenpangia hyo coz apo ss ndo maana nkauliza tu kwa uzur na sio kwmba nlikua cna ndoto ni imetokea tu kutokana na mfumo wetu wa kielimu nchini
kwahy lengo lng imenbid tu nihame mwelekeo ndo maana nauliza kwamba hii cozi si ipo frsh tu na inalipa ?
 
Mimi naona huna sifa yeyote ya kwenda chuo kikuu.
Kuandika tu kwa ufasaha huwezi sasa huko chuo unaenda kufanya nini?
naenda kutafta rizki ndugu yng
we c ushatoka sshv broo unakula shavu tu kwa7bab unajitambua ?
 
Back
Top Bottom