Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 783
- 3,665
Shemeji mtarajiwa anachangamoto ya kuongea uongo. Yani story moja ya uongo akibanwa anabadilisha nyingine ambayo nayo ni ya uongo, akibanwa anabalisha tena mpaka akiona yamemfika shingoni ndiyo anakubali.
Nampa moyo dogo kuwa atabadilika nakataa nisijeonekana mnafiki kwenye penzi la watu mana dogo anaonekana kazama.
Baba wa mtoto anasihi kuwa na uvumilivu kwani kila mmoja anachangamoto zake akiamini atabadilika kadri wanavyomsema.
Wenye uzoefu, kuna alieona mabadiliko ya tabia mbaya ya kwenye uchumba kuondoka na mtu kujirekebisha ?
Hili ni linavumilika?
Nampa moyo dogo kuwa atabadilika nakataa nisijeonekana mnafiki kwenye penzi la watu mana dogo anaonekana kazama.
Baba wa mtoto anasihi kuwa na uvumilivu kwani kila mmoja anachangamoto zake akiamini atabadilika kadri wanavyomsema.
Wenye uzoefu, kuna alieona mabadiliko ya tabia mbaya ya kwenye uchumba kuondoka na mtu kujirekebisha ?
Hili ni linavumilika?
200 na bado tumeshikia bomba
hisia zikishindana na akili lazima hisia zishinde kipumbavu