Tunisia attack on Sousse beach 'kills 39'

Tunisia attack on Sousse beach 'kills 39'

Sasa imetangazwa rasmi kuwa gaidi aliuwa watalii 30 raia wa Uingereza katika shambulio lililofanyika hoteli ya ufukweni. Jumla waluuawa watu 38Waziri Mkuu Cameroon amesikitishwa sana na vifo hivi. Source: BBC

kwani hao watalii hawajaona sehemu nyingine ya kutalii mpaka waende uko uarabuni?
waarabu sio watu kabisa na hakika swaumu iliwachanganya wakaamua kuwateketeza
 
hatumuabudi mungu 1 wakristo wanamuabudu mungu YESU kama mnavyodai na waislamu wanamuabudu ALLAH na wanaamini yesu ni mtume kama mitume mingine na wala c muumba na wakristo wanaamin yesu n mungu HIVYO WAKRISTO WANA MUNGU YESU NA WAISLAMU WANA ALLAH

Unakaribia kuelewa ila umekosea kiduchu tu ebu mulize jirani yako atakueleza vizuri.
 
Wakiristo wanajivunia msalaba ambao mungu wao ananing'inia kafa kjfo cha laana!

ebu mwekee mdomoni msalaba mtu mwenye pepo. Pepo linamjua huyo ni nani na litalia na kupiga kelele usiniangamize na kunichoma. Sio kifo cha laana bali wewe ndio umesema hivyo.
 
Ila wayahudi washenzi sana kwanzaa walimlaa tigo badae wakamtundika msalabani

Ukweli haumo ndani nako, mpe kila mtu kadiri alivyofanya. 'Give to everyone his,her belonging proper'. Maneno yako yatakuhukumu
 
So sad! ila huyo jamaa wa wales aliyemwekea mchumba ngao ili kumlinda alifanya kitendo na kishujaa na mapenzi ya kweli,ingekuwa kwetu huku bara la giza kwa jinsi tulivyojaa ubinafsi nadhani ingekuwa kinyume chake jamaa angepoma na demu akafa
 
kwani hao watalii hawajaona sehemu nyingine ya kutalii mpaka waende uko uarabuni?
waarabu sio watu kabisa na hakika swaumu iliwachanganya wakaamua kuwateketeza

Waarabu ni watu. Waliumbwa na Mwenyezi Mungu kama walivyoumbwa binadamu wengine.Ikiwa wewe unajiona bora basi. Kaa na kiburi chako. Ukubwa wa kibri ni ukubwa wa upotefu.
Wako watakao sema Wa afrika si watu. Watu watakao sema Wazungu si watu. Hakuna mwisho.
Mbora katika watu ni yule anayemcha Mwenyezi Mungu si rangi si taifa si mali.

Hao walioua waliopotea wamekiuka Amri ya Mwenyezi Mungu. Katika kitabu chake aya iko wazi " Atakayeua mtu bila hatia/haki ni kama kaua dunia nzima.Atakayeokoa uhai mmoja ni sawa na kuokoa dunia.
 
Waarabu ni watu. Waliumbwa na Mwenyezi Mungu kama walivyoumbwa binadamu wengine.Ikiwa wewe unajiona bora basi. Kaa na kiburi chako. Ukubwa wa kibri ni ukubwa wa upotefu.
Wako watakao sema Wa afrika si watu. Watu watakao sema Wazungu si watu. Hakuna mwisho.
Mbora katika watu ni yule anayemcha Mwenyezi Mungu si rangi si taifa si mali.

Hao walioua waliopotea wamekiuka Amri ya Mwenyezi Mungu. Katika kitabu chake aya iko wazi " Atakayeua mtu bila hatia/haki ni kama kaua dunia nzima.Atakayeokoa uhai mmoja ni sawa na kuokoa dunia.

Pia hakuna mtu anajua" Ghaib" je wewe unajua utakufa lini na wapi?

Ishara za kukaribia saa (mwisho wa dunia)ni hizi vita kuzidi; watu kuuwana ovyo; huko maghribi wakiristo wa kizungu wanasherekea ndoa ya jinsia moja; watu wamevaa lakini wako uchi nk.
Bwana David .Mimi na wewe tu ongeza ibada;tuitafute kwa kusoma dini ya kweli na Tubu kwa mola wako.
 
Back
Top Bottom