Tundu lisu

Tundu lisu

jikwete

Senior Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
157
Reaction score
71
Joke of the day!!

Mimi Charles Francis kuanzia leo sitaki kuwa shahidi katika kesi yoyote ambayo Tundu Lissu ana shtakiwa. Yaani kwa kifupi hata nikiombwa vipi kuwa shahidi against this man, sitaki. Ha ha ha ha ha ha ha usiniulize sababu... Kama ukitaka kujua sababu subiri wewe uwe shahidi against him alafu uone kama hujaomba maji ya kunywa!! Nchi hii kwa sasa kila mtu anajua Tundu Lissu ni nani!!

Charles Francis M.
 
Natamani agombee urais ashinde aondoe kinga za rais kuanzia mwaka 1995
 
Wakili msomi TAL...hiv kuna aina ngap za mawakili maana sielewi..hehehe naona Wakili msomi tu..sioni wakili kilaza
 
Kuna aina 2 za mawakili kwa Bongo (i) Half backed lawyers (ii) Learnt Brothers or Real lawyers..! Hapo ili uwe Learnt Fella ama King of Adversarial game inakubidi ujue kuzipangilia fact na ujue pakupitia kunapokuwa na contradiction in Court. Ila Library lazima iwe 2×3
 
Back
Top Bottom