johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,371
- 142,612
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema Wataalamu wa Chadema na wenzao wa CCM wameketi pamoja kuangalia namna bora ya kupata Katiba mpya.
Kuhusu yeye kutoelewana na Mwenyekiti Mbowe, Lisu amesisitiza hajawahi kupishana kauli na Mbowe hata Siku Moja hizo ni Siasa za Watu wenye hofu wanaoiogopa Chadema.
Lissu amesema hawa jamaa wamejaribu kutuuwa Wameshindwa wamejaribu kutufunga wameshindwa na sass wananaribu kutugawa lakini hawataweza.
Lisu amesisitiza wanaoizushia mambo Chadema ni Watu waliojawa na hofu Juu ya hatma zao pindi Chadema wakiuwasha moto usiozima.
Source: ITV Dakika 45
Kuhusu yeye kutoelewana na Mwenyekiti Mbowe, Lisu amesisitiza hajawahi kupishana kauli na Mbowe hata Siku Moja hizo ni Siasa za Watu wenye hofu wanaoiogopa Chadema.
Lissu amesema hawa jamaa wamejaribu kutuuwa Wameshindwa wamejaribu kutufunga wameshindwa na sass wananaribu kutugawa lakini hawataweza.
Lisu amesisitiza wanaoizushia mambo Chadema ni Watu waliojawa na hofu Juu ya hatma zao pindi Chadema wakiuwasha moto usiozima.
Source: ITV Dakika 45