johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,439
- 142,681
Taratibu bwashee!Hao Covid 19 wamelaaniwa!
Lisu ni shida! Naona ASALI imegonga mwamba kabisa.Hao Covid 19 wamelaaniwa!
Anawaambia Watanzania katika ujumla waoAkawaambie wenzie chamani ili wajue watachukua hatua gani, huku nje hakuna mtanzania aliyepo kwenye maridhiano na Samia.
Lisu kasema anataka samia ampe tobo la asaliLisu ni shida! Naona ASALI imegonga mwamba kabisa.
Watanzania hawapo kwenye meza ya maridhiano "kwa ujumla wao", akawaambie wenzake walioko kwenye meza ya mazungumzo, kama wakiamua kubaki wabaki, kama ni kujitoa wajitoe.Anawaambia Watanzania katika ujumla wao
Huko chamani ndio wanamficha aliyesaini fomu kinyemela!
Maridhiano na nani? Kuhusu nini? Kwa faida ya nani? Unadhani wameridhiana kuvunja katiba na sheria?Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema Halima James Mdee na wenzake 18 wameshalipwa jumla ya tsh 8 Bilioni kwa miaka 3 tu hadi sasa
Lisu amesema " tulifikiri wale wabunge ni wa Magufuli kumbe ni wa Samia"
Source: Jambo TV
My take; Lisu sasa anavuruga Maridhiano!
Kwenye Maridhiano yuko Mbowe Peke yake kama unabisha waulize Bawacha walichokutana nacho leo pale Ofisi ndogo ya BungeWatanzania hawapo kwenye meza ya maridhiano "kwa ujumla wao", akawaambie wenzake walioko kwenye meza ya mazungumzo, kama wakiamua kubaki wabaki, kama ni kujitoa wajitoe.
Huyo aliyesaini fomu kinyemela mtaje...
Ya Nusu MkateMaridhiano na nani? Kuhusu nini? Kwa faida ya nani? Unadhani wameridhiana kuvunja katiba na sheria?
My take; Lisu sasa anavuruga Maridhiano!Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema Halima James Mdee na wenzake 18 wameshalipwa jumla ya tsh 8 Bilioni kwa miaka 3 tu hadi sasa
Lisu amesema " tulifikiri wale wabunge ni wa Magufuli kumbe ni wa Samia"
Source: Jambo TV
My take; Lisu sasa anavuruga Maridhiano!
CCM ni shetani kabisaMakamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema Halima James Mdee na wenzake 18 wameshalipwa jumla ya tsh 8 Bilioni kwa miaka 3 tu hadi sasa
Lisu amesema " tulifikiri wale wabunge ni wa Magufuli kumbe ni wa Samia"
Source: Jambo TV
My take; Lisu sasa anavuruga Maridhiano!
I support Lissu. Maridhiano ya kijinga. Huwezi kufanya maridhiano na CCM .Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema Halima James Mdee na wenzake 18 wameshalipwa jumla ya tsh 8 Bilioni kwa miaka 3 tu hadi sasa
Lisu amesema " tulifikiri wale wabunge ni wa Magufuli kumbe ni wa Samia"
Source: Jambo TV
My take; Lisu sasa anavuruga Maridhiano!