Tunapowaambia nyie ni wajinga muwe mnaelewa? Nani amekwambia mimi ni Chadema? nani amekwambia ninachokiandika mimi ni cha Chadema? Huu wako hauwezi kuwa ni ujinga? Unaweza kuthibitisha kuwa Lowasa alipitishwa Chadema kwa kutoa mabulungutu? Huu wako tena hauwezi kuwa ujinga na uroporopo? Unadhihirisha ujinga pia kujaribu kuonyesha ni Dk Slaa pekee yake aliyeing'arisha Chadema. Bungeni wakati huo, kama ulikuwa hujaanza kufuatilia bunge, hoja zilijengwa na akina Zitto, hoja zilijengwa na akina Mnyika, hoja ziliendelea kujengwa na akina Halima Mdee, hoja zilijenmgwa na akina Lisu na hoja zilijengwa na akina Lema. Unamjua Wenje wewe?Kama matusi na kejeli yangekuwa sera, Chadema mgekubalika kila kona. Leo hii mmeshasahau Lowassa alikuja na maburungutu ya fedha na akapitishwa kwa kura za kunyanyua mikono juu. Mmeshasahau Dr. Slaa aliyejenga hoja karibu zote bungeni na kukifanya chama kikubalike nje ya ngome yake ya kaskazini. Chadema kilikuwa ni chama cha wafanyabiashara na matajiri, masikini hakuwa na nafasi kwenye chama. Leo hii hata huko kaskazini kuanza kupuputika.
Hakuna mtu hata mmoja aliyetoka Chadema iwe kwa hiyari yake au kwa kufukuzwa anajutia huo uamuzi. Nashukuru Nyalandu amejitahidi kubadili lugha inayotumiwa na viongozi wa Chadema wa sasa, ni tofauti sana na ilivyokuwa miaka michache iliyopita ya nguvu nyingi kuliko akili. Tatizo ni nyinyi ambao bado mna elements za kizamani.
Ccm wanaamini police,nec,ma ded ndio wanaowapa ushindi,ccm bila hao ni sawa na changu wa kimbokaChadema wanaamini katika kupambana na polisi badala ya kuichallenge CCM kwa hoja by Frederick Sumaye
Katika mazingira hayo mlitaka Dr Mashinji afanyaje?!
Bashiru na phd yake hana tofauti na mropokaji lusinde,ndio katibu wa hivyo kuwahi kuongoza ccmChadema ni genge la wababaishaji!
Nitajie muadilifu mmoja tu hapo Ufipa acha kurukaruka bwashee!
Kwa hoja zipi unazosema kama kila wanapoandaa mikutano barua zao zinajibiwa intelenjia imegundua kwamba kutakuwa na uvunjifu wa amani au kuna ujenzi jirani na eneo linalofanyika mkutano wakati Smallsmall aka Polepole na Bashiru wanafanya mikutano wanavyotaka (hizo hoja unazosema watazitoa wapi wakati mikutano mnawaletea figisu)Chadema wanaamini katika kupambana na polisi badala ya kuichallenge CCM kwa hoja by Frederick Sumaye
Katika mazingira hayo mlitaka Dr Mashinji afanyaje?!
Ngoja nikutafute Bank slip ya mbowe akiweka pesa kule hongkongErythrocyte,
Tundu Antipas Lisu atuambie pale Chadema nani ni muadilifu!
Sasa kama wewe sio Chadema, unajitapa nini kama unaijuwa Chadema nje ndani. Ukisema ngome ya kaskazini ya Chadema haijapuputika, wewe umejuwaje?Tunapowaambia nyie ni wajinga muwe mnaelewa? Nani amekwambia mimi ni Chadema? nani amekwambia ninachokiandika mimi ni cha Chadema? Huu wako hauwezi kuwa ni ujinga? Unaweza kuthibitisha kuwa Lowasa alipitishwa Chadema kwa kutoa mabulungutu? Huu wako tena hauwezi kuwa ujinga na uroporopo? Unadhihirisha ujinga pia kujaribu kuonyesha ni Dk Slaa pekee yake aliyeing'arisha Chadema. Bungeni wakati huo, kama ulikuwa hujaanza kufuatilia bunge, hoja zilijengwa na akina Zitto, hoja zilijengwa na akina Mnyika, hoja ziliendelea kujengwa na akina Halima Mdee, hoja zilijenmgwa na akina Lisu na hoja zilijengwa na akina Lema. Unamjua Wenje wewe?
Ni kaskazini ipi ambako Chadema imepukutika? Au mauzo ya Meya wa Arusha ndio yameongeza ujima kichwani mwako? Nyie ndo mnapokea propaganda rahisi za manunuzi ya madiwani na wabunge, umeona wananchi wanaombatana na hao wasaka tonge? kwa taarifa yako wao wewenyewe wanaponunuliwa wanawaogopa wananchi, hawana ujasiri wa kuwashawishi..kalaghabaho!
Wana siasa wa Afrika ku flip ni kawaida
Ccm wanaamini police,nec,ma ded ndio wanaowapa ushindi,ccm bila hao ni sawa na changu wa kimboka
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema wanaamini katika kupambana na polisi badala ya kuichallenge CCM kwa hoja by Frederick Sumaye
Katika mazingira hayo mlitaka Dr Mashinji afanyaje?!
Lisu kasahaulika kabisa,anajitutumua lakini wapi Erythrocyte,
Kwani hujui ccm siyo chama cha siasa tena? Ccm ilishajifia zamani sana, kwa sasa ccm ni dola kwa mgongo wa chama cha siasa. Nitajie nani aliyetimamu aliye ccmChadema wanaamini katika kupambana na polisi badala ya kuichallenge CCM kwa hoja by Frederick Sumaye
Katika mazingira hayo mlitaka Dr Mashinji afanyaje?!
Ukweli ni kwamba Dr. Mashinji alifanya kazi na watu wenye uelewa na darasa dogo - mwenyekiti na katibu msaidizi wake hawana hata kadigree ka kwanza! Wewe utafanya nao kazi vipi? - You will always be out of phase of each other! It is not his fault. Alionekana slow maana boss wake elimu ndogo, hivyo Mashinji alikuwa anavutwa kusudi waende pamoja na boss wake!
Meko kila uchwao anaiba tu,miaka 4 kaiba kuliko awamu mbili zilizopita ni balaa,ccm ukoo wa panyaView attachment 1365551
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu alimzuia Mashinji kuchallenge CCM?Chadema wanaamini katika kupambana na polisi badala ya kuichallenge CCM kwa hoja by Frederick Sumaye
Katika mazingira hayo mlitaka Dr Mashinji afanyaje?!
Inferiority complex asingefanya lolote mbele ya middle yaani darasa la kati la nurseryPhD zina issue gani, jiwe ana PhD lakini kuongea kwa lugha aliyopatia PhD Ni vituko. Cdm hawaangalii PhD wanaangalia uwezo. Kama PhD zingekuwa na maana Mashinji angefanya la maana. PhD zinatakiwa ccm maana huko hawaangalii uwezo kwakuwa vyombo vya dola vinawabeba.