Tunaomba mahakama imtendee Lissu haki kwa namna alivyokua anaongea asipohukumiwa kunyongwa itakua hawajamtendea haki, kitendo cha kutishia kukinukisha kilisababisha nipate hofu na niwe na mashaka na maisha yangu, mtu huyu akirudi uraiani itasababisha wananchi tusio na hatia tuishi bila amani.