JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,520
- 7,570
Kwa hiyo unataka kusema kuwa migodi inasafirisha mawe ukoko kwenda Japan!? Ili iweje hasa!?Mkuu uwe unaelewa, tatizo sio mgodi au wamiliki wa migodi, tatizo ni nemc waliowakataza wamiliki wa migodi kugawa hayo maweukoko, kwanza hayana hata dhahabu sanasana wananchi watatumia kujengea nyumba tu.