Tundu Lissu ndani ya moshi mjini

Tundu Lissu ndani ya moshi mjini

ahahaha ccm kazi mnayo na mawaziri wenu mizigo maneno ya Kinana na NAPE leo hii Mwenyekiti amewaona nyie ni kama wendawazimu sasa njooni mje kuwaambia wanachi kuwa hawa sio mizigo tena ahahaha
 
Moshi wanajitambua, nadhani ni vyema wakapiga kambi Same na Mwanga, pia Siha kule kwa Aggrey Mandri, na Moshi vjjn!
 
Yaani Tamisemi na elimu hakuna mabadiliko? yaani ni kulithishana kwa madaraka. sijui nape na kinana wanajisikiaje!
 
Ukombozi upi!!?, Kama Dj Mbowe ameshindwa kufanya ukombozi Wa ruzuku Wa kodi zetu kwa kuzitumia kifisadi, Leo hii ndo nimpe kura yangu nimkabidhi fisi bucha (hazina).
HU NI UWENDAZIMU. JITAMBUE KIJANA😵😵
Kawape CCM kura yako ili uonyeshe ufala,Nalabuk
 
Hana lolote huyo mchumia tumbo, kivuli cha zitto kishawaua nyie "Chaga Development Manifesto" CDM.

Hivi huwa unafahamu maana ya neno MANIFESTO? Au huwa unameza kila unalolisikia kutoka kwa Mbulula kama akina Mwigulu? Pole saaana.
 
Tena mi ntakua wa kwanza kumuunga mkono na ntaanda mamluki zaidi ya nusu ili tumsaliti mpaka ajute
kazi imeanza chadema mdogo mdogo,mambo mazuri sana hayo na zitto anaisoma hii nimefurahi kusikia watu wanakoment naye aanzishe chama chake waje kumsaliti
 
Hivi huwa unafahamu maana ya neno MANIFESTO? Au huwa unameza kila unalolisikia kutoka kwa Mbulula kama akina Mwigulu? Pole saaana.

Kama umeshindwa kusikia basi hafa kuona huoni??? Sasa nimeamini. WanaChagaDeMa mnaumwa ugonjwa uitwao "OBSESSIVE-COMPULSIVE DISORDER". Hamjielewi nyie misukule ndo kila mnaloambiwa mnafuata tu kufikiri!��
 
Hana lolote huyo mchumia tumbo, kivuli cha zitto kishawaua nyie "Chaga Development Manifesto" CDM.

Mimi ni muhehe kutoka pale Kalenga'kulidungu la nyi'.LAKINI NI KAMANDA WA CHADEMA.KWA KUWA CCM HAINA WACHAGA,BASI ACHA WACHAGA WAWE NA MANIFESTO YAO.MACCM MLIWADANGANYA WATZ VIJIJINI KWA MUDA MREFU,SASA CHADEMA MSINGI TUMETINGA KILA KONA VIJIJINI,TUMETOA ELIMU YA KUTOSHA,WANANCHI WAMEELEWA MALENGO YA CHADEMA.HATUDANGANYIKI NG'OOOO.
 
Kama umeshindwa kusikia basi hafa kuona huoni??? Sasa nimeamini. WanaChagaDeMa mnaumwa ugonjwa uitwao "OBSESSIVE-COMPULSIVE DISORDER". Hamjielewi nyie misukule ndo kila mnaloambiwa mnafuata tu kufikiri!��

Hizo porojo zako kadanganye watoto wadogo, sio watu wazima wanaoelewa na kuona mambo yanavyokwenda. Mpofu ni wewe ambaye mpaka miaka hamsini ya uhuru pamoja na kuwa na vivutio na rasilimali nyingi lakini ni nchi ya tatu kwa umasikini. Wewe kwako ni poa tu kwa sababu labda mjomba wako ananufaika na kuiba rasilimali za Watanzania ndipo na wewe uende chooni. Bado unapita barabarani kifua mbele ukijiona kuwa ni timamu? Pole zako.
 
Back
Top Bottom