Tundu Lissu ndani ya moshi mjini

Tundu Lissu ndani ya moshi mjini

M4C Pamoja Daima ndiyo Habari ya Mujini kwa Sasa.
 
Ndo mana unajiita majina ya laana,et nyeti huh! kwahiyo ww ni k------ma.hata domo lako linafanana na manyeti.

Sibishani na walevu gongo iliyopikwa na padri alielaanika. Kunywa pombe nyingine ila sio gongo we k....n.. Si
 
Inafurahisha mashambulizi kila kona afadhali sasa mbio ziwe za kuhamasisha wananchi wawajibike katika kuhakikisha wanapata elimu ya uraia
 
Kesho 23/01/2014 kamanda Tundu Lissu atakuwa ndani ya manispaa ya Moshi.
Mkutano utaanza saa 9 kiboriloni sokoni.
Tunatarajia makubwa kwenye mkutano huo

Kwani kiongozi ambaye sio mchaga anaruhusiwa kuhutubia Moshi?
 
Wana JF!
Leo Chadema wanafanya mkutano wao "Pamoja Daima" kata ya Kiboriloni.
Tundu Lissu ndio atakuwa kinara wa mkutano huo. Pamoja na mambo
mengine watazindua kampeni za Udiwani kata ya Kiboriloni.

Kabla ya Mkutano huo tunamuomba Tundu Lissu 'mtaalamu wa kupindisha
sheria' atembelee kata za Moshi Manispaa ambazo zinaongozwa na Madiwani
wa ccm aone zilivyo na maendeleo na miradi kuliko zile za chadema.

Lakini ajue siasa za Moshi zimebadilika sana asiende moja kwa moja jukwaani
atembee na kuona hali halisi ya wananchi wa Moshi walivyo choshwa na
Mbunge wa chadema Ndesamburo aka Babu.
 
mkuu , maendeleo yapi unayotaka kumuonyesha LISSU ? Kama yapo mbona CHAMI anapumulia mashine ?
 
Nadhani unazungumzia Mtaa wa Moshi, Kata ya Motta, Tarafa ya Kibakwe, Jimbo la Kibakwe, Wilayani Mpwapwa, Mkoani Dodoma!

Kilimanjaro ni namba nyingine!
 
Hivi diwani wa kata ya Pasua ni wa Chama Gani?
 
Naomba kama kuna mtu ana list ya kata zote na kabla zilikuwa za chama gani
 
kazi imeanza chadema mdogo mdogo,mambo mazuri sana hayo na zitto anaisoma hii nimefurahi kusikia watu wanakoment naye aanzishe chama chake waje kumsaliti
 
Wana JF!
Leo Chadema wanafanya mkutano wao "Pamoja Daima" kata ya Kiboriloni.
Tundu Lissu ndio atakuwa kinara wa mkutano huo. Pamoja na mambo
mengine watazindua kampeni za Udiwani kata ya Kiboriloni.

Kabla ya Mkutano huo tunamuomba Tundu Lissu 'mtaalamu wa kupindisha
sheria' atembelee kata za Moshi Manispaa ambazo zinaongozwa na Madiwani
wa ccm aone zilivyo na maendeleo na miradi kuliko zile za chadema.

Lakini ajue siasa za Moshi zimebadilika sana asiende moja kwa moja jukwaani
atembee na kuona hali halisi ya wananchi wa Moshi walivyo choshwa na
Mbunge wa chadema Ndesamburo aka Babu.

ina maana huu ufala umeanza lini naniii? bila shaka we ni mmoja wa wale vibarua wa kuchuna nguruwe sasa leo umepewa viela na wali nyama na chama cha watu miaka ya AD halafu unakuja kutujazia server hapa kachune nguruwe si tuje kula maandazi wewe! halafu mbona hatuna mafala huko we umetokea wapi? Simiyu nini?
 
hana lolote huyo mchumia tumbo, kivuli cha zitto kishawaua nyie "chaga development manifesto" cdm.
acha kupayukapayupa wewe zuzu,, zungumzia mada iliyowekwa mbele yetu,, wachagga wamekuosea nini hadi unawasakama, kwani tundu lisu ni machagga? Ukiona mtu anayezungumzia mambo ya ukabila kwenye karne hii ya digital huyo ni limbukeni,,ni wapi ulienda ukakosa huduma au ajira kwa kuwa wewe mchagga??
 
Back
Top Bottom