Kesho 23/01/2014 kamanda Tundu Lissu atakuwa ndani ya manispaa ya Moshi.
Mkutano utaanza saa 9 kiboriloni sokoni.
Tunatarajia makubwa kwenye mkutano huo
Hana lolote huyo mchumia tumbo, kivuli cha zitto kishawaua nyie "Chaga Development Manifesto" CDM.
Hana lolote huyo mchumia tumbo, kivuli cha zitto kishawaua nyie "Chaga Development Manifesto" CDM.
Zitto hapa ndiyo anasoma picha nzima. Akaanzishe chama chake nae aone.Napenda Zitto aanzishe chama chake ili nae ajue madhara ya usaliti
akili za laki na nusu ni za hovyo sana...ndo dear Wa ujeruman anachunguzwa lazma utapiga miayo cnaa mwaka huuHana lolote huyo mchumia tumbo, kivuli cha zitto kishawaua nyie "Chaga Development Manifesto" CDM.
Usilie maana Ukombozi u njiani na wewe kama nia raia mwema huna hofu ya kujali ila kama ume/unalifidi taifa hili andaa visa au jiandae kwa adhabu,
umebanwa nyeti zako shetani mkubwa weeee! Watu wa ma ccm wachumia tumo na waramba viatu utawajua tu jiandae kisaikolojia mwakani!
Ukombozi upi!!?, Kama Dj Mbowe ameshindwa kufanya ukombozi Wa ruzuku Wa kodi zetu kwa kuzitumia kifisadi, Leo hii ndo nimpe kura yangu nimkabidhi fisi bucha (hazina).
HU NI UWENDAZIMU. JITAMBUE KIJANA
akili za laki na nusu ni za hovyo sana...ndo dear Wa ujeruman anachunguzwa lazma utapiga miayo cnaa mwaka huu
akili za laki na nusu ni za hovyo sana...ndo dear Wa ujeruman anachunguzwa lazma utapiga miayo cnaa mwaka huu
Zitto atawapigisha kwata sana mwaka Huu, mshalewa gongo ya babu yenu Slaa, hamna jipya . Mmeona M4C imeshindwa Sasa mmeamia OPERESHENI PASUA DEMOKRASIA (
Hana lolote huyo mchumia tumbo, kivuli cha zitto kishawaua nyie "Chaga Development Manifesto" CDM.