Tky
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 439
- 140
Huu mziki wa CHADEMA sasa ni hatari, CCM ni mkoa gani mnaweza kuponea nyie maana sumu ya ukombozi ndio inasambaa hivyo.
Wanajamvi, mh. Tundu Lissu kapiga kambi Mafia.
Tarifa hizi zilitolewa na Mabere Marando alipokuwa akihutubia mkutano wa wananchi Kibaha.
Wanajamvi, mh. Tundu Lissu kapiga kambi Mafia.
Tarifa hizi zilitolewa na Mabere Marando alipokuwa akihutubia mkutano wa wananchi Kibaha.