Tundu Lissu nae!!


....na wewe sasa ni mnafiki!!! hivi hili jambo si tulishalijadili na hii thread si tulishaichangia????
au wamekutuma tena??? alafu you pretent kuwa mstaarabu wa maandishi wakati
there is no logic behind what you write!!! ACHA UNAFIKI!
 
Hata mie ambaye ni kilaza nilishangaa sana. Nafikiri ana haraka au tuseme usongo sana, sijui nasubiri.






kumbe na wewe ni kilaza kama huyo mwenzako aliyetuma hyo thread inayomhusu lisi? bas itabid mtafute forum nyingine kwa ajili ya vilaza kama nyie ndo mtume thread zenu za vlaza..... mmenisoma?
 
Kwenye BUNGE hili la leo unamshangaa Mh. Lissu ........ameamua naye ajifurahishe kwa kupunguza presha maana amechoka kila siku yuko serious wakati Bunge lote kuanzia speaker wake wanacheza makida makida.................Bravo Lissu ameamua kupunguza hasira za wabunge wengine wanaokerwa na majibu ya hovyo na kero ya Speaker
 

Swali la kujiuliza: kama aliyeuliza angekuwa siyo Tundu Lissu bali ni mbunge fulani wa CCM, Spika ange-react vilevile? Hoja ya kwamba taasisi ya bunge iko at stake ni ya msingi. Tatizo ni kwamba Anna yuko so busy kutekeleza agizo la kuwadhibiti wapinzani, kiasi kwamba hawezi kuona a few metres ahead. ni sawa na bosi anayeletewa mapendekezo ya kuongeza malipo ya pensheni anayakataa, bila kukumbuka kuwa miaka michache ijayo na yeye pia atakuwa analalamikia pensheni hiyohiyo. kwa staili ya Anna, atajikuta anajipinga mwenyewe. maana tatizo kama hilo likijatokea kwa mtu wa CCM, itabidi aendeleze precedency ileile. Au Anna ni single minded, a one-track mind ambayo haiwezi hata kuangalia pembeni kulia na kushoto?

Angalau hili la Pinda kusema uwongo bungeni litakuwa limemstua, kama kweli ni wa kustuka. maana hasira za mkizi... My take ni kwamba Tundu Lissu anaweza kujifunza haraka zaidi na kuji-align vyema kuliko ambavyo Anna anaweza kuadapt na kuwa naye wa viwango. maana alisema yeye ni wa kanuni, na tunaona kanuni zinampiga chenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…