Tundu Lissu kwa haya unayoyafanya ujue Mungu anakuona

Nibozali

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
572
1,055
‪+255 756 997 052‬ 20170427_192806.jpg
 
hahaha hadi kabudi anakunywa maji, aisee tundu hana adabu halafu yeye anamsozinya (piga jicho pembe)
sipatii picha lissu angekuwaga muha
 
Nilikuwa simfahamu Tundu lisu... Nilimfahamu siku ile wamealikwa Ikulu... Kikwete akawa anawatumbulisha wageni waalikwa. Alipofika kwa Tundu Lusu akasema kuwa huyu ni mbobezi wa sheria lakini anawadanganya kweli kweli wenzake... Hapo ndo nikaanza kumfuatilia na kujua kumbe ni moja kati ya watu wanaoihenyesha CCM...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom