Tetesi: Tundu Lissu kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha kupeperusha bendera ya CHADEMA

Kawe Alumni

JF-Expert Member
Mar 20, 2019
8,685
11,988
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu.

Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi.

Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA.

Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia.

Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano.

Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri.
 
Mbowe k-vant hajawai simamia jambo na likawa.anafanya mambo yake hovyo hovyo tu.
kikubwa muheshimiwa Lissu aombe radhi watanzania arudi nyumbani kumenoga aachane na siasa za kihuni za Mbowe.
kwanza Lissu anafaa kuwa balozi wa Tanzania nchini ubelgiji.Inshallah.
 
Huu ni ushauri mzuri, lissu akiomba msamaha kwa Watanzania tutsmsamehe tu

Tunajua alikuwa anapata mgao kuwatetea Wazungu dhidi ya madini yetu
Aombe radhi tu
Mbowe k-vant hajawai simamia jambo na likawa.anafanya mambo yake hovyo hovyo tu.
kikubwa muheshimiwa Lissu aombe radhi watanzania arudi nyumbani kumenoga aachane na siasa za kihuni za Mbowe.
kwanza Lissu anafaa kuwa balozi wa Tanzania nchini ubelgiji.Inshallah.
 
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema
Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock lissu

Sasa ni siku ya nne ndugu lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi

Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa chadema,
anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia
Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano

Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri
Menyewe kwa menyewe!
 
Iwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
 
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema
Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock lissu

Sasa ni siku ya nne ndugu lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi

Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa chadema,
anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia
Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano

Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri
Da jtatu ndugu yetu na mwanachama wa mda mrefu anachukua form hapo makao makuu ,anasema ataenda na bajaji na hataki vyombo vya habari ngoma kimia kimia sasa tafadhali katibu mkuu jtatu mpokee na mpe stahiki zake kama mtia nia .asante sana dr bashiru.
 
Kama una familia, basi wana SHIDA ya kuwa na baba mdaku/mbea.
Cha kuwaombea ni kuwa asijetokea mwana kurithi lijitabia hilo.
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema
Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock lissu

Sasa ni siku ya nne ndugu lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi

Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa chadema,
anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia
Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano

Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri
 
Upuuzi tu.

Muendelezo wa ule uzi wa kijinga wa kumtaka Mbowe ajitoe amuachie Lissu, umechukua yale mawazo ya kichovu kule ukaunganisha na yako ndio ukatunga huu ujinga.
 
Hapo ni changamoto makamanda wanakuna vichwa
Iwapo Mbowe atajitoa kwa wakati huu,ataonekana kuwa amemuogopa Lissu.
Iwapo Mbowe ataingia hadi hatua za mwisho na kushindwa,ataonekana hana nguvu ndani ya Chadema kumshinda Lisu,na Mbowe akitangazwa kuwa mshindi,Lisu ataonekana ni mdhaifu katika harakati zake alizofanya ndani ya Chadema na itadaiwa kuwa ndani ya Chadema hakuna mwenye sauti zaidi ya Mbowe.
Mbowe akishindwa wakati huu na kuamua kurudi katika ubunge,na yeye ataonekana ni mtaka madaraka.
 
Wakuu mambo si shwari ndani ya Chadema , Kuna mnyukano mkali unaendelea chini kwa chini toka mkanda wa maongezi uvuje uliokuwa unam mock Lissu

Sasa ni siku ya nne ndugu Lissu anashauriwa na wanafamilia na marafiki wasiokuwa wanasiasa ajiondoe kwenye mchujo wakiamini tayari umeingia dosari ila bwana mkubwa Lissu hajakubaliana nao bado akiamini bado ana nafasi

Kwa mujibu wa wanyetishaji kamanda anataka Mbowe ajitoe kwenye mchakato kwani anaamini Mbowe ananguvu sana hata hawezi kumshinda
Kufanya hivyo ndio anaweza kurudi nyumbani kushiriki kumpata mgombea wa CHADEMA

Anasema kama Mbowe hajajitoa kwenye mchakato atachukua maamuzi mengine nadhani hapa atachukua maamuzi ya familia

Kutokana na sintofahamu hii wazee wa chama wanaendelea na mashauriano

Tutaendelea kukuletea taarfa kama zinazojiri
Hili picha anataka tengeneza tu ili atoke! Mwamko wa yeye kutangaza nia umemshtua sana, hajapokelewa na wananchi kama alivyodhani! Sasa inatafutwa gia ya kujitoa.
 
Hiyo ndio demokrasia
Da jtatu ndugu yetu na mwanachama wa mda mrefu anachukua form hapo makao makuu ,anasema ataenda na bajaji na hataki vyombo vya habari ngoma kimia kimia sasa tafadhali katibu mkuu jtatu mpokee na mpe stahiki zake kama mtia nia .asante sana dr bashiru.
 
Ndio siasa ilivyo Mkuu huwezi kupata unachokitarajia kila kitu
Upuuzi tu.

Muendelezo wa ule uzi wa kijinga wa kumtaka Mbowe ajitoe amuachie Lissu, umechukua yale mawazo ya kichovu kule ukaunganisha na yako ndio ukatunga huu ujinga.
 
Back
Top Bottom