Hawa watesi wetu wako katika hatua za mwisho, kama wanajiamini kwa nini wanawawekea mizengwe wagombea wetu ili wao wapite bila kupingwa? Kama wanajiamini kwanini wanatumia risasi badala ya kujibu hoja? Nendeni mkawaambie watu kwenye Kata zenye uchaguzi Kuipa kura CCM ni kufurahia na kuruhusu mateso yetu yaendelee!! Maneno ya makubwa ya Tundu Lissu. Ni mwili uko kitandani Nairobi Hospital ila akili zake ziko Tanzania.