amenWaliopanga au kushiriki kwa namna yoyote kutaka kuondoa uhai wa huyu mtenda haki wa nchi hii, Mungu ataonyesha hasira zake juu Yao, yetu macho.
Heshima Kwenu,
Nimesoma maelezo ya Mchungaji Msigwa, mbunge wa Iringa Mjini kuhusu ugumu wa safari ya kumpeleka TL Narobi, gharama za fedha na kujitolea, nimeshangaa.
Kwa mujiibu wa Msigwa, mpaka sasa wametumia kiasi cha TSh. 160 milioni kwa matibabu tu. Wakati wa safari Mh. Mbowe alishikilia mirija ya mtungi wa gesi kwa kuwa ilikuwa imetoboka, Much. Msigwa alishikilia kitanda kwa kuwa kilifyatuka. Madaktati walikuwa na kazi ya kushikilia dripu za maji.
Kumekuwa na juhudi za kutafuta ndege maalum(air ambulance) kwa ajili ya kumpeleka Mh. Lisu Marekani au Uingereza na gharama ya usafiri ni $ 250,000 au Tsh. 550 milioni ingawa,imeshauriwa kusubiri. Hizi ni fedha nyingi.
Waheshimiwa wabunge wote wamechanga nusu ya posho zao za siku. Wananchi nao kwa ujumla wao wamechanga kupitia simu.
Kuna gharama za viongozi waliokaa Nairobi kwa wiki mbili sasa. Hizi si gharama ndogo.
Chama cha Wanasheria wa Uingereza kutuma barua Tanzania kuhoji mkasa wa Tundu Lisu kunaonesha thamani na umuhimu wake kwa wananchi, wabunge wenzake na serikali pia. Kuna watu wamebeba mzigo kwa ajili ya maombi.
Watu wengi wamejitolea muda, hali na mali.
Huu ndiyo uzalendo wa kweli.
Your account impressed me brother, Amen to that.Tundu Lisu is expensive this is true he is an icon of democracy in this country. The war of protecting our natural resources to him started over two decades or so. He is very expensive because as patriotic citizen we gave him that value. He had fought for the oppressed in this country for a long period of time, it is now our turn to fight for him. To reward Tundu for his past good acts of humunanity and patriotism is generosity to him, his family and to the entire country. This sign of love and sense of humanity and of it's own kind will completely weaken those cawards and the entire people behind this barbaric shameful attempt to take away Tundu God's given life.
In this land that dominated by Nyerere's spirit of brotherization rest all assured that those who committed this crime will not have their place but in the graveyard. The violation of the spirit of love that was nartured by Nyerere will never find them safe. They will go one by one. Let us be steadfast in our prayers for Tundu and peace, love and unity that all these may prevail in our country.
Tundu Lisu you are expensive because you are a humble and dedicated servant of the poor and the oppressed. You are expensive because you love you love Justice, Equality, Democracy, your country and fellow citizens. You are expensive because you are not a traitor. You are expensive because you have been consistence in fighting for natural resources genuinely and tirelessly. You are epensive because we respect you and made you expensive. God alone will reward you for the good work and this is why you are a live today because God understands the heart of his humble servant Lisu. God has given you a second chance so that the enemies of democracy wherever they are to know that our God is democratic and there was no single day that he has attempted to kill Satan though they differ in a number of things.
Tatizo wanawake chumvi sana.....mipira ya gesi imetoboka mbowe anaiziba kwa mikono![emoji13] [emoji13] [emoji13] kuna sababu ya kuongea kila jambo?ili iweje?[emoji13] [emoji13] [emoji1]Heshima Kwenu,
Nimesoma maelezo ya Mchungaji Msigwa, mbunge wa Iringa Mjini kuhusu ugumu wa safari ya kumpeleka TL Narobi, gharama za fedha na kujitolea, nimeshangaa.
Kwa mujiibu wa Msigwa, mpaka sasa wametumia kiasi cha TSh. 160 milioni kwa matibabu tu. Wakati wa safari Mh. Mbowe alishikilia mirija ya mtungi wa gesi kwa kuwa ilikuwa imetoboka, Much. Msigwa alishikilia kitanda kwa kuwa kilifyatuka. Madaktati walikuwa na kazi ya kushikilia dripu za maji.
Kumekuwa na juhudi za kutafuta ndege maalum(air ambulance) kwa ajili ya kumpeleka Mh. Lisu Marekani au Uingereza na gharama ya usafiri ni $ 250,000 au Tsh. 550 milioni ingawa,imeshauriwa kusubiri. Hizi ni fedha nyingi.
Waheshimiwa wabunge wote wamechanga nusu ya posho zao za siku. Wananchi nao kwa ujumla wao wamechanga kupitia simu.
Kuna gharama za viongozi waliokaa Nairobi kwa wiki mbili sasa. Hizi si gharama ndogo.
Chama cha Wanasheria wa Uingereza kutuma barua Tanzania kuhoji mkasa wa Tundu Lisu kunaonesha thamani na umuhimu wake kwa wananchi, wabunge wenzake na serikali pia. Kuna watu wamebeba mzigo kwa ajili ya maombi.
Watu wengi wamejitolea muda, hali na mali.
Huu ndiyo uzalendo wa kweli.
Thank you brother cowards like terrorists will forever do their evil acts in darkness. They will reign but shall always be defeatedYour account impressed me brother, Amen to that.
Heshima Kwenu,
Nimesoma maelezo ya Mchungaji Msigwa, mbunge wa Iringa Mjini kuhusu ugumu wa safari ya kumpeleka TL Narobi, gharama za fedha na kujitolea, nimeshangaa.
Kwa mujiibu wa Msigwa, mpaka sasa wametumia kiasi cha TSh. 160 milioni kwa matibabu tu. Wakati wa safari Mh. Mbowe alishikilia mirija ya mtungi wa gesi kwa kuwa ilikuwa imetoboka, Much. Msigwa alishikilia kitanda kwa kuwa kilifyatuka. Madaktati walikuwa na kazi ya kushikilia dripu za maji.
Kumekuwa na juhudi za kutafuta ndege maalum(air ambulance) kwa ajili ya kumpeleka Mh. Lisu Marekani au Uingereza na gharama ya usafiri ni $ 250,000 au Tsh. 550 milioni ingawa,imeshauriwa kusubiri. Hizi ni fedha nyingi.
Waheshimiwa wabunge wote wamechanga nusu ya posho zao za siku. Wananchi nao kwa ujumla wao wamechanga kupitia simu.
Kuna gharama za viongozi waliokaa Nairobi kwa wiki mbili sasa. Hizi si gharama ndogo.
Chama cha Wanasheria wa Uingereza kutuma barua Tanzania kuhoji mkasa wa Tundu Lisu kunaonesha thamani na umuhimu wake kwa wananchi, wabunge wenzake na serikali pia. Kuna watu wamebeba mzigo kwa ajili ya maombi.
Watu wengi wamejitolea muda, hali na mali.
Huu ndiyo uzalendo wa kweli.