Tundu Lissu is a legend

Tundu Lissu is a legend

ras jeff kapita

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
22,729
Reaction score
34,828
Hasalaam aleku.

Nimeona nami nitie neno kidogo kwa mahitaji ya wakati.

Hapana sili ya kwamba Tundu Lissu is a legend. Tunaweza kukataa kwa sababu za uchawa na vitu kama vile. But in reality Lissu ni mtu hatari sana in a positive way

Thamani ya Tundu Lissu itaweza kuonekana baada ya miaka 50 mpaka 100 na kuendelea

Sitashangaa watu wakinipinga mimi am taking beer right now

Karibuni
 
Back
Top Bottom