ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,828
Hasalaam aleku.
Nimeona nami nitie neno kidogo kwa mahitaji ya wakati.
Hapana sili ya kwamba Tundu Lissu is a legend. Tunaweza kukataa kwa sababu za uchawa na vitu kama vile. But in reality Lissu ni mtu hatari sana in a positive way
Thamani ya Tundu Lissu itaweza kuonekana baada ya miaka 50 mpaka 100 na kuendelea
Sitashangaa watu wakinipinga mimi am taking beer right now
Karibuni
Nimeona nami nitie neno kidogo kwa mahitaji ya wakati.
Hapana sili ya kwamba Tundu Lissu is a legend. Tunaweza kukataa kwa sababu za uchawa na vitu kama vile. But in reality Lissu ni mtu hatari sana in a positive way
Thamani ya Tundu Lissu itaweza kuonekana baada ya miaka 50 mpaka 100 na kuendelea
Sitashangaa watu wakinipinga mimi am taking beer right now
Karibuni