Atumbuliwe ili arudi yule RAIS tunayemmiss aliyesababisha deni tunalodaiwa miaka saba iliyopita? au aingie yule jamaa wa dili la RICHMOND?Wewe mtoa mada sio mzalendo kabisa yaani taifa linaangamia kwa kuwa na viongozi wasio na maarifa ww unataka tuwafungie macho, hapana aise.
Kwani yeye anavyo watumbua wengine anamaana gani?
"Atumbuliwe tu amna namna'
Sent using Jamii Forums mobile app
Trudi kwenye maisha ya kupiga madili na kubwia unga?