cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,769
- 73,510
Lissu atakuwa anamfahamu.. nchi yetu na sio yao.. watamwaga machozi ya damu tu
Mpumbavu ni anayevunja mikataba kipumbavu.Mpumbavu Ni asiyejua maana, na haambiwi maana Pia. Upeo mdogo, sina haja ya kuendelea nawe
c kwa mzee uyu anavyowaamini maprofeseri acha awatumie tuoneSerikali itafute kampuni ya kisheria nchi za nje, USA,UK or Canada waingie nao mkataba wawe wanafanya nao kazi za kusimamia kesi zao nje ya nchi, pia kuwashauri katika masuala yote ya mikataba wapoingia na kampuni za nje . Kampuni hii itashirikiana na wizara ya sharia au office ya mwana sharia wa serikali. Hii kampuni sio tu itatusaidia bali tutaingia nao mkataba kuwafundisha pia wanasheria wote walioko ndani ya office ya mwanasheria baadae wakiwa tayari tutakuwa na uwezo wa kusimamia kesi wenyewe, tusione aibu eti wasomi wetu wapo kwa nini tulete kampuni ya nje? sio kuwa tunadharau wanasheria wetu lakini tutajifunza kutoka kwao katika masuala mbalimbali ya kisheria na mikataba ya kimataifa, elimu huwa haina mwisho, lakini kwa wanasheria wetu hawa wa serikali basi kesi nyingi tutashindwa.
dawa ya kukopa ni kulipa , dawa ya uzembe ni viboko au kifo. ccm inatakiwa ifeee ndio uzembe utaisha au ichapwe vibokoKila uzembe wa CCM tulipe hata kama tunaweza kuepuka? Unafikiri inalipa CCM? Utalipa wewe na mimi ....endeleeni kushabikia muone kama vitafanya JPM asimalize mihula yake zaidi ya maumivu ya mwisho kupata mwananchi .....
Mbona watu wanatroti mkuu ! Haiji hiyo lazima idakwe tu .Ni wazi kuna mengi yanafuata ya aina hii.
Dreamliner ikae mkao wa kula.
Hata mm naomba ishindweHao huwa wanaungana na wanasheria wa upande wa pili ili serikali ishindwe. Tuna mifano mingi sana
Angalikuwa mzungu TL angemweleza akushtaki Mahakama za kimataifa na wakati ukiagiza Gari Japan wanalishikiliaWe unatoa mfano wakati me nimeshamtimua fundi aliyeniharibia msingi wa nyumba yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ulegeeHata mm naomba ishindwe
Unakumbuka Mkapa alikupeni jina gani? Malofa na wapumbavu. Misingi ya familia yako unaileta kwenye uchumi wa nchi? Ama kweli umesadifu jina!! Na kwa kukutoa tongotongo huo sio mkopo.Ukiwa na akili za kushikiwa saa hizi utaita jioni imebaki nusu saa kuwa saa moja usiku bado unaita jioni??
Ndege ikamatwe au wakachukue mashuka ya balozi mimi hainipi shida, sababu tumekuwa kwenye misingi na watoto wetu watatembea humo humo, ukikopa lazima ujue kulipa.
Dawa ya deni si ubabe wala kukimbia, mnakuwa wajinga kiasi cha kutetea utapeli na kutoheshimu maamuzi ya mahakama.
so kumakiza ndio concern yako ? duh!Kila uzembe wa CCM tulipe hata kama tunaweza kuepuka? Unafikiri inalipa CCM? Utalipa wewe na mimi ....endeleeni kushabikia muone kama vitafanya JPM asimalize mihula yake zaidi ya maumivu ya mwisho kupata mwananchi .....