Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Ndio maana sijawai msikia Magufuli akizungumzia gesi kumbe sie tunamiliki bomba tu gesi inawenyewe.
Na JK alidanganya kuwa yeye ndo rais wa mwisho kuongoza taifa maskini maana gesi ni utajiri mkubwa