Tundu Lissu asikae gerezani bure

Tundu Lissu asikae gerezani bure

olfactory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2025
Posts
277
Reaction score
373
Habari zenu mabibi na mabwana.
Ni wazi kwamba haki huinua taifa, mh Tundu Lissu amejitambulisha wazi kwamba yupo tayari kupigania haki.

Ameonyesha bila hofu kuwa yupo tayari kutoa uhai wake kwa ajili ya kupigania haki na mabadiliko katika taifa hili.

Nia ya kuandika ujumbe huu ni kuwaomba viongozi wa CHADEMA kuandaa mpango wa kutoa fursa kwa watanzania wazalendo na wapenda haki kumchangia pesa mh Tundu Lissu. Fedha hiyo itakayochangwa imsaidie katika maisha yake hasa atakapotoka Gerezani.

Suala hili litatoa ujumbe kwa watawala kwamba, watanzania wapenda amani na haki hawajafurahishwa na matendo ya ukandamizaji yanayofanywa serikali ya awamu ya sita.
"No reforms, no election".
 
Habari zenu mabibi na mabwana.
Ni wazi kwamba haki huinua taifa, mh Tundu Lissu amejitambulisha wazi kwamba yupo tayari kupigania haki.

Ameonyesha bila hofu kuwa yupo tayari kutoa uhai wake kwa ajili ya kupigania haki na mabadiliko katika taifa hili.

Nia ya kuandika ujumbe huu ni kuwaomba viongozi wa CHADEMA kuandaa mpango wa kutoa fursa kwa watanzania wazalendo na wapenda haki kumchangia pesa mh Tundu Lissu. Fedha hiyo itakayochangwa imsaidie katika maisha yake hasa atakapotoka Gerezani.

Suala hili litatoa ujumbe kwa watawala kwamba, watanzania wapenda amani na haki hawajafurahishwa na matendo ya ukandamizaji yanayofanywa serikali ya awamu ya sita.
"No reforms, no election".
Mistari miwili ya mwanzo baada ya salam ulizo toa, ni mistari inayo mwandaa msomaji wako kwa taarifa tofauti kabisa na hayo yaliyo fuata; pamoja na kwamba ni jambo jema.

Tundu Lissu akitoka gerezani hawezi kufa njaa kwa kukosa fedha za mahitaji yake muhimu. Hayo ni maswala ambayo waTanzania watayashughulikia hata bila kuhimizwa.

Mistari yako hiyo miwili ilitakiwa ifuatiwe na nini kitakacho fuata katika juhudi za ukombozi wa nchi hii. Hilo ndilo la muhimu, na nina hakika Tundu Lissu mwenyewe angelitaja kuwa kipaumbele; kuliko kuchangiwa pesa za kujikimu yeye.
 
Nakubali Ila sasa mchango usiitwe CHADEMA uwe (mchango wa wapenda haki kwa Lissu)

Maana Kuna CCM Wengi hadi wengine wapo ikulu wako tayari kuchanga


Britanicca
Hao "wachangiaji walio CCM na walio Ikulu" michango yao ingekuwa na maana kubwa zaidi kuchangia kwa njia mbadala ambazo ni muhimu zaidi. Sisi huku kitopeni acha tuchange hata kama ni jelo jelo; itatosha kumsitiri Tundu Lissu kwa wingi wetu ulivyo.

Kama wapo tayari kumchangia Tundu Lissu kwa anayo yasimamia ndani ya nchi hii; basi watoe michango yao stahiki ya kumwezesha na kutuwezesha waTanzania kubadili hali yetu hii duni.

Natumaini naeleweka vyema nikusudiayo kuyawasilisha.
 
Sawa nitachangia pesa yangu ya kununulia mbolea ili yeye akanunue mahindi!
 
Habari zenu mabibi na mabwana.
Ni wazi kwamba haki huinua taifa, mh Tundu Lissu amejitambulisha wazi kwamba yupo tayari kupigania haki.

Ameonyesha bila hofu kuwa yupo tayari kutoa uhai wake kwa ajili ya kupigania haki na mabadiliko katika taifa hili.

Nia ya kuandika ujumbe huu ni kuwaomba viongozi wa CHADEMA kuandaa mpango wa kutoa fursa kwa watanzania wazalendo na wapenda haki kumchangia pesa mh Tundu Lissu. Fedha hiyo itakayochangwa imsaidie katika maisha yake hasa atakapotoka Gerezani.

Suala hili litatoa ujumbe kwa watawala kwamba, watanzania wapenda amani na haki hawajafurahishwa na matendo ya ukandamizaji yanayofanywa serikali ya awamu ya sita.
"No reforms, no election".
Mie nilifikiri awe anatolewa kwenda kudek muhimbili na mwananyamala dah umenikata stimu
 
Hao "wachangiaji walio CCM na walio Ikulu" michango yao ingekuwa na maana kubwa zaidi kuchangia kwa njia mbadala ambazo ni muhimu zaidi. Sisi huku kitopeni acha tuchange hata kama ni jelo jelo; itatosha kumsitiri Tundu Lissu kwa wingi wetu ulivyo.

Kama wapo tayari kumchangia Tundu Lissu kwa anayo yasimamia ndani ya nchi hii; basi watoe michango yao stahiki ya kumwezesha na kutuwezesha waTanzania kubadili hali yetu hii duni.

Natumaini naeleweka vyema nikusudiayo kuyawasilisha.
MFUKO WA HAKI NA DEMOKRASIA LEO NA KESHO
 
Habari zenu mabibi na mabwana.
Ni wazi kwamba haki huinua taifa, mh Tundu Lissu amejitambulisha wazi kwamba yupo tayari kupigania haki.

Ameonyesha bila hofu kuwa yupo tayari kutoa uhai wake kwa ajili ya kupigania haki na mabadiliko katika taifa hili.

Nia ya kuandika ujumbe huu ni kuwaomba viongozi wa CHADEMA kuandaa mpango wa kutoa fursa kwa watanzania wazalendo na wapenda haki kumchangia pesa mh Tundu Lissu. Fedha hiyo itakayochangwa imsaidie katika maisha yake hasa atakapotoka Gerezani.

Suala hili litatoa ujumbe kwa watawala kwamba, watanzania wapenda amani na haki hawajafurahishwa na matendo ya ukandamizaji yanayofanywa serikali ya awamu ya sita.
"No reforms, no election".

Kichwa cha mada na mada havihusiani. Kichwa kimekaa ki mockery na mada inasomeka na ulterior motive.

CHADEMA ya Lissu si ya mwamba ambayo pesa ilikuwa mbele. Hapa macho yako Oct. 29.

Kama ni pesa zilifanya nini tokea kwenye ruzuku hadi kwenye join the chain? Hatukuishia kuambiwa chama kinaendeshwa na mfanya biashara fulani?

Ukombozi unahitaji wanaoweza kusimama na kuhesabika si pesa.

Lissu anahitaji watu si pesa!

Pesa tuchangeni kwa wahanga familia za kina Mawazo, Lijenje, Mdude, soka, Kibao nk.

Lissu tukiamua kuwapo tu, hata kesho mbaroni anatoka na NRNE tunashinda!
 
Hao "wachangiaji walio CCM na walio Ikulu" michango yao ingekuwa na maana kubwa zaidi kuchangia kwa njia mbadala ambazo ni muhimu zaidi. Sisi huku kitopeni acha tuchange hata kama ni jelo jelo; itatosha kumsitiri Tundu Lissu kwa wingi wetu ulivyo.

Kama wapo tayari kumchangia Tundu Lissu kwa anayo yasimamia ndani ya nchi hii; basi watoe michango yao stahiki ya kumwezesha na kutuwezesha waTanzania kubadili hali yetu hii duni.

Natumaini naeleweka vyema nikusudiayo kuyawasilisha.
Acha kujificha ficha nyuma wewe mwanaume, bila aibu unataka wanaume wenzako wakufanyie mabadiliko unayoyataka.

Ndio yale yale keki unataka uendelee kuificha kabatini, wakati huo huo unataka kuila.
 
Habari zenu mabibi na mabwana.
Ni wazi kwamba haki huinua taifa, mh Tundu Lissu amejitambulisha wazi kwamba yupo tayari kupigania haki.

Ameonyesha bila hofu kuwa yupo tayari kutoa uhai wake kwa ajili ya kupigania haki na mabadiliko katika taifa hili.

Nia ya kuandika ujumbe huu ni kuwaomba viongozi wa CHADEMA kuandaa mpango wa kutoa fursa kwa watanzania wazalendo na wapenda haki kumchangia pesa mh Tundu Lissu. Fedha hiyo itakayochangwa imsaidie katika maisha yake hasa atakapotoka Gerezani.

Suala hili litatoa ujumbe kwa watawala kwamba, watanzania wapenda amani na haki hawajafurahishwa na matendo ya ukandamizaji yanayofanywa serikali ya awamu ya sita.
"No reforms, no election".
Good idea
 
Back
Top Bottom