Tundu 'Frankenstein' Lissu

acha uwongo wewe huoni aibu?
 
Lissu akirudi bongo atakuwa kapoa. Msitegemee yule lissu mpambanaji mliyemzoea...

Kwanza, kiakili hataweza kuwa sawa...

Pili, woga umeshamwingia. Mara nyingi alikuwa anasuguana na "wasiojulikana", ila kwa sasa hataweza tena kutumia lugha hii " niko radhi kufa, kutetea wananchi " ...

Tatu, wengi tulitegemea taharuki baada ya kupokea taarifa kuhusu kupigwa risasi. Lakini mambo yalikuwa kinyume. Raia waoga wanaendelea na kazi kama kawaida. Labda watu wa mitandao na magazeti " keyboard warriors"....

Kwa wale wanaofikiri kuwa atarudi kwenye hali yake ya awali waendelee na ndoto hiyo...
 
Yataka moyo sana ili kuweza kutamka maneno kama haya ww umevurugwa
 
Nikisoma hizi comment humu ndani nashangaaaa sanaaaaaa.........hivi kwa nini watu wachumia tumbo wana DOUBLE FACE............!!!!!?????
 
Nawe Nyani Ngabu, umebugi kwa kujichanganya. Unasema siasa ni propaganda. Kwa hilo nami nakubaliana na wewe, lakini kilichofuatia, na ufafanuzi wako, kinakinzana na unachotaka tuelewe (rejea maandishi mazito katika bandiko lako).

Maudhui na jinsi ya kuendesha propaganda ndiko hutofautiana kati ya mtu na mtu, au kikundi kwa kikundi. Utofauti huo unatokana na lengo la hiyo propaganda.

Nikirejea mada yako, Mh Lissu na Serikali, kisiasa wote wamekuwa wakiendesha propaganda. Kwa kuwa serikali ina madaraka, imekuwa ikitumia, silaha yake hiyo, kuhakikisha propaganda yake inafanikiwa.

Labda tu tujadili ni aina gani ya propaganda hizo na usahihi wa jinsi zinavyoendeshwa. Je, matokeo yake ni hasi au chanya kwa wahusika?
 
..hili shambulizi la TL lilivyopangwa halikuwa na option ya kufeli.

..kwa hivyo waliopanga kumuua TL did not account on the possibility of him surviving.

..kwa kifupi shambulio hili litamfanya TL aaminike zaidi ktk kila analolisema.

..watu watajiuliza swali dogo tu: kama TL ni muongo kwanini walitaka kumuua?

..Hata kabla ya shambulizi hili, wiki chache kabla ya hapo, u could see kwamba TL alianza kuizidi serikali na CCM katika hoja na mambo aliyokuwa akiyasemea. Labda hali hiyo ya kuelekea kushindwa kujibu kila hoja ya TL ndiyo iliyolazimisha au kuharakisha shambulizi hili.

..Sasa ujengaji hoja wa TL, ujasiri wake, na huruma atakayokuwa akiipata toka kwa wananchi, ni challenge ambayo nadhani CCM hawajawahi kukutana nayo.

NB:

..Huko kwenu Marekani nadhani TL ungeweza kumfananisha na rapper mwenye kipaji kikubwa lakini akakosa street cred. Sasa baada ya kupigwa marisasi ghafla amepata street cred na kuanzia hapo most likely he will be unstoppable.
 
Hahaaa

Hueleweki.

Unasema nimejichanganya halafu unasema unakubaliana na mimi.

Wewe ndo umechanganyikiwa.
 

Namba 3 inaingia akilini,,RAIA waoga mno
 
Ni uzushi na uzandiki, ndicho mlichotaka hakikuwa na hakitakuwa kama usemavyo.
 
Obviously huna mifano ya walioumizwa na kurudia harakati zao kama kawaida
John McCain and Fifty Cents are case study
 

Ni kama vile unasema wakammalizie ili asipone na kurejea kuendelea na harakati zake pale alipoishia. Kwamba unajiuliza serikali itamfanya nini tena mtu ambaye keshanusurika kifo, hinting ni serikali ilimkosakosa? Strange. Na unasema Lissu alishambuliwa kwa kuwa strategy ya vi kesi uchwara ilishindwa kumdhibiti? Na kwanini una-assume kwamba ni halali kwa serikali "kumkabili" na "kumdhibiti" Lissu? You sound like a Chief Strategist katika Ikulu ya Magufuli.
 

hata mimi niko ccm lakini namuunga mkono
Kwa hiyo unaunga mkono kwamba Mh. Tundu Antiphas Lissu ndiye lidubwasha (the evil moster) kwenye filamu ya Frankenstein ambaye kwa uovu wake baada ya kufinyangwa kazi yake ilikuwa ni kuuwa tu. Mleta mada ni wazi kachanganyikiwa lakini kwa wewe kuunga mkono jitihada za mleta mada kumfananisha Mh.Tundu Lissu na huyo ibilisi aliyeua watu kumeniacha hoi.
  • Ni lini Mh. Tundu Lissu amekuwa na kiu ya damu?
  • Ni lini Mh. Tundu Lissu ameishi kwa kujificha gizani?
  • Ni lini Mh. Tundu Lissu amekuwa moja katika wasioonekana?
Chuki za [B]Nyani Ngabu[/B] kwa Mh. Tundu Lissu zinaeleweka kwani zinachochewa na Genealogy ambayo haijamuacha salama, imemganda kama shati lililoloa. Ni chuki hizo hizo kutoka kwa watu wale wale zilizopelekea risasi zaidi ya 30 kushindiliwa mwilini mwa Mh.Tundu Lissu kwa lengo la kumuua. Lakini Mwenyezi Mungu katengua hukumu iliyotolewa na hao mashetani na kwa sasa hali yake inaimarika.

Hii hali imeleta sintofahamu kubwa kwa watu kama [B]Nyani Ngabu[/B]...toka tukio limetokea hatulii na idadi ya mada alizoanzisha humu JF ni ushahidi wa utetezi wake dhaifu. Kama panya anauma na kupuliza kuondoa wingu lililotanga kugubika hisia za uhusika wa jamaa zake. Kiwewe kizito kimewakumba waliopanga, kuratibu na kutekeleza jaribio la kigaidi la kumuua Mh. Tundu Lissu...tuzidi kumuombea Mh. Lissu.
 
Hahaaa

Hueleweki.

Unasema nimejichanganya halafu unasema unakubaliana na mimi.

Wewe ndo umechanganyikiwa.
Nakubaliana nawe kuwa siasa ni propaganda, ila sikubaliani na hitimisho lako linalolenga kwamba ni Mh Lissu tu ndiye amekuwa akiendesha propaganda.

Kwa hitimisho lako Lissu ataibuka shujaa (dubwana umeandika), kwa mfano wa Frankestein! maana yake, kwako, ni kwamba kamata kamata na kufunguliwa kwake Lissu mashtaka na Serikali siyo propaganda, au!

Kwangu hata viongozi Serikalini wanaendesha propoganda za kudhoofisha upinzani, na ikibidi ufilie mbali. Lakini, bahati mbaya viongozi wa upinzani hawalioni hilo, na kama wanaliona wanalipuuzia. Kama hawipuuzii, mikakati yao ya kuzima huo mto uliowashwa na serikali, kufisha upinzani, waikarabati.

Kwa mfano, mkakati wa kunung'unika na kulalama kwenye vyombo vya habari making noises, ili dunia isikie, haujaleta matokeo wanayoyakusudia.
 

..Maelezo ya Alute Mughwai na Mh.Mbowe yanatoa picha tofauti na hii iliyoiweka hapa.

..huko aliko inaelekea yuko imara kiakili na kisaikolojia.

..wako ambao huwa na waoga baada ya kupata mikasa kama ya TL. na wapo ambao hupata ujasiri zaidi.

..kuna dalili kwamba TL atakuwa jasiri zaidi baada ya shambulizi hili.
 
Ulijua umemmaliza kweli wewe bwege na atakapo kuja utaona mziki wake labda ukatege bomu tena shame on you huoni ata aibu unaandika upuizi ningekutukana nikuvue boxer unabahati kuna ban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…