"Tundu Antiphas Lissu, live muda huu Startv"

"Tundu Antiphas Lissu, live muda huu Startv"

Kwa kumalizia kipindi Mtangazaji kamuuliza Lissu kwanini wabunge wengi wa chadema wana kesi kila uchapo? Afu Mh. Lissu akajibu "NDUGU MTANGAZAJI, CHADEMA IMEKARIBIA NGOME YA ADUI[ ikulu] hii ndiyo sababu ADUI AMEKUWA MKALI SANA NA ANATUMIA KILA AINA YA MBINU KUJILINDA.

Hii imenichekesha sana.
 
hapohapo STAR TV msikilize John Mnyika anangolea mikataba tata ya siri wanayoingia serekali ya chama chamapinduzi .
kipinndi ni "CHANGAMOTO "
 
Last edited by a moderator:
Huyu dada ananifurahisha kujiamini kwake anajaribu kuuliza maswali magumu. Lissu Angekuwa mtu dhaifu angegalagazwa n huyu mdada. Mwiteni gamba yeyote uone kama hatakimbia studio

asanteni waandishi kuonesha utofauti,magamba mnawahoji maswali ya la pili,makamanda mnawahoji maswali ya phd,heeh,hee
 
Tundu lissu ni jembe kweli..
Anaongea ukweli kila cku huyu kweli ni jembe.
 
Back
Top Bottom