Kwa kumalizia kipindi Mtangazaji kamuuliza Lissu kwanini wabunge wengi wa chadema wana kesi kila uchapo? Afu Mh. Lissu akajibu "NDUGU MTANGAZAJI, CHADEMA IMEKARIBIA NGOME YA ADUI[ ikulu] hii ndiyo sababu ADUI AMEKUWA MKALI SANA NA ANATUMIA KILA AINA YA MBINU KUJILINDA.
Hii imenichekesha sana.